Search results

  1. Nyarui

    Hongereni zoomTanzania kwa maboresho

    Kwanza kuona mkoa wa kazi husika mpk ufungue tangazo Zima I prefer the old view
  2. Nyarui

    Mwanaume bahili wa kazi gani?

    Ngoja wanaume waje hapa lazima povu liwatoke...chezea kuitwa dume suruali
  3. Nyarui

    Kwenye kumfikisha mwanamke kileleni, wanaume wengi tunafeli

    Kuna wanaume wengine ni washamba atiii,unakuta mtu umejivutia hisia zako na umekaribia kukiona kilele....linauliza etii umemaliza bby,duh stimu yote inakata!
  4. Nyarui

    Ni neno gani uliwahi kuambiwa na mpenzi wako likakutouch moyoni na huwezi kulisahau?

    Nilikituta sms za mapenz kwenye cmu ya my x nilipomuuliza akanijibu'Angalia maisha yako....duh mpk Leo huwa sisahau hiyo sentensi
  5. Nyarui

    Msaada wa kupata dawa hizi za Genital Warts

    Jamani tusaidiane huo ugonjwa unasababishwa na nn na kuna uwezekano wa kuambukizwa?
  6. Nyarui

    Natafuta kazi yoyote ya halali

    Nataka kuongea na wewe private but mi mgeni humu jf nashindwa kuitumia pm...plz nifate ww pm unitumie namba yako kama hautajari
  7. Nyarui

    Natafuta kazi yoyote ya halali

    Samahani kwa maswali mengi vigezo na masharti vikoje mi ni mdada?
  8. Nyarui

    Natafuta kazi yoyote ya halali

    OK nilikuwa sijaelewa kumbe una trainiwa kuwa mlinzi hata kama haujawahi kupitia mafunzo yoyote ya ulinzi?
  9. Nyarui

    Jinsi ya kuweka nywele fupi natural mawimbi

    Hayo mafuta yana itwa ka sperm?
  10. Nyarui

    Natafuta kazi yoyote ya halali

    G4S kwa ninavyojua Mimi ni kampuni la ulinzi,kumbe huwa wanatoa na ajira zingine kutokana na fani yako au sijaelewa?
  11. Nyarui

    Naomba kufundishwa namna ya Kutongoza Mwanamke

    We mpe hela,toa hela haina haja ya maneno
Back
Top Bottom