Kumbe watu wajua mengi,baada ya kuona taarifa kuhusu Mhashamu askofu Mhogolo nilishtuka:kumbe kuna watu wana macho lakini hawaoni,wana masikio lakini hawasikii,basi wanakuwa ni mbumbu tuuuuu! Baada ya kusoma maoni ya wana jamii forums ndo nikagundua kuwa Mhogolo sio mbumbu bali ni mwerevu sana...
Mbali na huyo Mama Mwanajeshi,pia kuna raia wengi wanadhulumiwa,wanadhalilishwa na hata kujeruhiwa na wanajeshi wasiojiheshimu wala kujali utawala bora! Nadhani ni wakati muafaka vyombo vyote vya haki za binadamu kutoa msaada wa kisheria ili kukomesha ufedhuli wa wanajeshi wachache...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.