Jacob Marley and Prinslow street,,
Tavena Pub maskani ya wabongo ,,
brown street and Prinslow kwa msomali .
Kote ndy michezo yngu..
Kwa kifupi hii namba chafu mkuu..
Kwa kuwa umetaja mitaa yng RSA basi salute mkuu..
Nilichokugunduwa ni kwamba huna unachojuwa kuhusu safari wala south Africa.
Nilitaka nijiridhishe kitu na nimeshajuwa nabishana na fala mmoja ambaye hata Nairobi hajawahi fika..
Huenda ikawa upo kwenye kigenge chako cha viazi na nyanya
Unatuletea porojo za Safari za nje
Mkuu kuna baadhi ya embassy wana masharti magumu sana,
Bila kutumia agent utafeli..
Mfano,,
-ilnvaitation letter
-bank statement
-others documents etc.
-Uliingia South Africa 1998 ,, ulitumia passport gani kuingia huko?
-Je ilikuchukuwa muda gani kupata passport ya south Africa?
-Ulipita njia gani kutoka tanzania kuifikia cape town.
Dunia ya leo tunaendesha kesi kizamani?
Hivi inakuwaje mtu anakamatwa na kidhibiti halafu inachukuwa miaka 8 hadi 10 kuhukumu?
Wenzetu inchi zilizoendella ndani ya siku 3 ushahukumiwa,,
Kukwepa mambo kama haya ya kupanga rushwa.
Sasa wewe 2015 ndy unasafiri mwenzio nimesafiri tangu 20000 huko ,,
Nikiwa na 22 years.
Nataka nikukamate uongo wako kwanza , hizo passport za malawi na south Africa ulisafiria kwenda inchi gani?
Dharau ulianza wewe kumtusi mtu usiyemjuwa.
Kunambiya mimi sina ninalojuwa zaidi ya story za vijiweni ,hizo sio dharau?
Mimi siongei kitu sikijuwi,, Ukiona nachangia hoja yeyote elewa najuwa ninachochangia.
kwa taarifa yako mimi ni simba mwenye ngozi ya kondoo.
nishakaa sehem chafu,na safi...
Hakuna dezo, this time.
Mjengewe daraja halafu Tanganyika ndy ilipe deni.
Kwa sasa watanganyika tunajitambuwa,
Hatufanyi tena makosa ya 26 April 1964.
Hakuna kujenga daraja bila kujuwa malipo yatalipwa vp ,,
na Tanganyika itapata faida gani ktk ujenziI wa hilo daraja..
Kero za muungano...
Kweli aachwe arekebishe inchi,,
-ukienda mloganzila hospital kumwona doctor sh 20000 .
-bima ya NHIF kwa watoto ilikuwa sh 50400 kwa mwaka wakati wa Magufuli ila kwa sasa ni 340,000/
Kweli aachwe arekebishe inchi..
Inchi inaelekea pazuri
Alichokicanya huyo kijana wa UVCCM ni kuropoka,,
Lakini hayo aliyoropoka ndy hali halisi ilivyo kwa sasa.
Ni sawa na kumlaumu mtoto mdogo anayelalq chumba kimoja na wazazi wake,,.
kuropoka matendo wafanyayo wazazi wake usiku wa manane..
Katibu wa chama ni kama mzazi lazima akemee yale mtoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.