#BreakingNEWS: More Watford stars 'REFUSE to train after three of the six positive coronavirus tests in Premier League' came from the club.
======
Watford have had several more players refusing to train after the club provided three of the six positive coronavirus tests across the Premier...
Octoba 14 mwaka2014 kulikua na mechi yakufuzu EURO2016 kati ya nchi zenye uhasama/uadui mkubwa sana Serbia vs Albania mechii hii ilipigwa Belgrade Serbia lakini dk40 refa wa mchezo huo Martin Atkinson(yule wa EPL) alilazimu kuusitisha mchezo huo baada ya ghasia kubwa kutokea, huku mashabiki wa...
Mnamo mwaka 1962 Benfica iliwaadhibu klabu kongwe na mabingwa wakihistoria ktk mashindano ya ulaya Real Madrid kwa mabao 5;3 huku real Madrid ikiongozwa na mastaa kama Alfredo Di'stefano,Puskas. Benfica walitoka nyuma nakuibuka na ushindi wakiongozwa na black tiger Eusebio ukiwa muendelezo wa...
Huyu Waziri Mkuu wa Uingireza Boris Johnson...nina hofu naye atakuwa shabiki wa Liverpool kang'ang'ana sana kipigwe na si kucancel msimu...bila bingwa kuwepo....[emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
TP Mazembe wamekataa ofa ya US $ 2.5m (Bilioni 5.8 Tsh) kumwachia nyota wao Jackson Muleka '20' kwenda Al Ahly SC
Muleka amefunga jumla ya mabao 60 na Tp Mazembe.
======
It has been reported that Cairo giants Al Ahly have launched a hefty bid to sign TP Mazembe’s...
Hii leo Vilabu vya EPL...tunapiga kura kuamua hatima ya league...Man United, Man City, Norwich, Aston Villa na...Arsenal Wajumbe hawa watapiga kura huku wanacheka...[emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.