Kwanza Samahanini sana wakuu, Ni mara yangu ya kwanza kupost kitu naombeni ushauri kwa yeyote anayefahamu vizuri michakato ya kusajili vikoba, Ni ofsi gani ya serikali inayohusika na usajili wa vikundi vay vicoba? ninawadau wenzangu tunataka kuunganisha nguvu ili tuweze kujikwamua kiuchumi but...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.