Hii yote inatokana kwa sabb viongoz tulio waweka madarakani wanaufinyu wa kufikiri, raisi, waziri mkuu, na spika wote wamekubaliana kuwa posho ya wabunge iongezwe, lakini madaktari serikali haina pesa inawezekana kweli?
"Ni kijana mwenye umri wa miaka 29 tu na kivutio kikubwa cha akina mama"
Nimeipenda hata Rais alikuwa kivutio kikubwa kwa wanawake!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Pole mkuu hapo juu hii ndio siasa na imempata mchezaji Taabu ya ccm huwa inamsaka mtu 1 mmoja ambalo ni kosa ktk siasa mwone nape anavyo haha. kumchafua Slaa kashindwa kwan alifikiria slaa atamjbu wanao mjibu wengine,anaenda mbele zaid na kusema cdm imebaka democrasia si kweli ila nape hajui...
pole kwa kutumwa utachafua hakuta chafuka ndio kwanza kunag'aa. Ivi had leo kunamtanzania mwenye akili kama kuku ya kuto jua umuhimu wake ktk jamii. Kwa nn uanze kutumikishwa kwa jambo ambalo kwako halina manufaa. Elimika ndugu yangu kwa nn hutaki kuondoka ktk ndimbwi la ukolon had leo.
Unajua...
Amakweli mjinga ni Mjinga hata afundishwe vip atabak kubisha, John alikuwa nan kipindi hicho? Naomba mwandish aelezee vizuri na kwa unagaubaga kuhusu tofauti ya kifo cha Moringe sokoine na chacha wangwe, Kitabu aliandika yeye marehemu kabla hajafa au ameandika mhuni baada ya kufa. pia hicho...
huu uchumi sasa umeingiliwa kwa ujinga kama huu tanzania hatuna sababu ya kuongozwa au kusoma ili elimu itukomboe. Elimu kazi kwelikweli!!!!!!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.