Sahihisho
Usijalumu kwa kupata pressure. Yawezekana ni biological factor uliyozaliwa nayo. Ndiyo maana kuna wazee wana 80 ila hawana pressure ila wenye 30 wana pressure
Pole ila ni changamoto ya kawaida. Kama una uwezo nunua mashine ya kujipima nyumbani.
Anza kufanya mazoezi mepesi hasa ya kutembea walau nusu saa kila siku. Kama una vinyongo au mawazo sana jitahidi kuepuka.
Kapime Chorestrol, malaria, na UTI kwa sababu hupandisha pressure. Usipunguze uzito...
Awali nakupongeza kwa kuchukua jukumu la kutuelimisha sisi wenye ufahamu mdogo kuhusu mambo haya.
Swali langu linahusu mabaraza ya usuluhishi. Nafamu (sina uhakika kama ndivyo kisheria), mabaraza ya usuluhishi ni pamoja na Bakwata, Baraza la kata na mabaraza ya usuluhishi makanisani.
Mimi ni...
Mzee usiogope ni tatizo dogo. Naomba ufanye yafuatayo!
Kama una gari, pumzika kuendesha maana kichwa chako hakiko sawa
Mtafute rafiki yako wa karibu ila msiri, wa kupiga naye story, akupunguzie mawazo, hapa simaanisho demu.
Kama una vipesa kidogo, ondoka hapo nyumbani wala usiage, kakae japo...
Kile ninachofahamu ni kuwa:
Wanadamu wote tuna akili za aina mbili: Akili ya mantiki (logic) na akili ya hisia (emotional). Ila kwango cha akili hizi kinatofautina kulingana na jinsi. Wanaume wanatumia akili ya mantiki zaidi katika kuendesha mambo yao ilihari wanawake wanatumia akili za hisia...
Wakati mwingine watu waache ujinga, hebu tujikumbushe maisha ya wazazi wetu siku za nyuma hasa huko vijijini
1. Mume na mke wote wanaelekea shamba kulima mazao ya biashara n chakula, mfano pamba na mpunga huko shinyanga. Msimu wa mauzo ukifika, baba anapeleka mazao sokoni na kurudi na pesa...
Ndio shida ya wanawake kupenda mabraza men. Unataka bonge la handsome, misheni town bila kufikiria hiyo ni sehemu ndogo tu ya ndoa. Any way kama ni mmeo mvumilie kama sio mmeo na hujaolewa jifunze. Kama sio mmeo na umeshaolewa hayakuhusu.
Mimi ni mwanaume, ninaamini sehemu kubwa ya sista du au...
Mali hizo ukiwa peke yako unao uwezo wa kuzi-manage bila madhara. Ila ukiwa na mme wako hutaweza kwa ufanisi uleule kwa kuwa hata madaraka madogo uliyopewa ndani ya bustani ya edeni uliyatumia vibaya. Mwenyezi Mungu akakupokonya madaraka akampa mwanaume i.e ulishindwa kujiongoza kwa ufanisi
Nitakujibu baadaye kazi za mwajiri bado zimenibana, ila punguza munkali and relax. Nina mke na watoto wawili. Jiulize swali fupi kwa nini wakristo (hasa Roman) hawaruhusu asiye na ndoa kuwa msimamizi wa ndoa? Then nitakujibu vizuri baadaye
Habari ndugu mwana JF
Katika sayansi ya kompyuta na Teknolojia ya Habari na Mawasilianao (ICT), tunapozungumzia SIMULATION tunamaanisha kufanya practical katika mazingira yasiyo halisi (virtual environment). Mfano unaweza kuwa ni kutafiti msongamano wa magari dsm na kutoa ufumbuzi wake kupitia...
Nikiwa msimbazi kwenye semina ya ndoa nilifundishwa kuwa ndoa inaweza kuvunjwa iwapo hakuna uaminifu. kitendo cha shemeji kudanganya hakuwa mwaminifu kuhusu bikira. Mdharau tu halafu acha maisha yaendelee
Hapo kwenye red, umekosea. Binadamu tumetofautiana. Mfano mimi unaweza kunikosea leo, tukaendelea na maisha ila nikaja ku-react baada ya mwaka au zaidi. Muda wote huo huwa nafanya utafiti taratibu bila pressure na kutafakari kuhusu umamuzi na madhara yake na faida zake.
Braza we acha tu.
Ilikuwa ni mwaka 2008
Baada ya kuona maisha ya kupanga ni magumu, niliweka mpango wa kujenga nyumba ya wastani. Kuna pesa nilipata mahari, nikaongezea na mkopo toka benki halafu ujenzi ukaanza. Kwa kuwa nilikopa benki, mshahara unaoingia kwenye account ukapungua kutokana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.