Nina majogoo kama 20 nayauza bei ni Kati ya 13,000- 15,000 kulingana na kuku mwenyewe.
Kuku wapo Dar, nawauza ili kiwapunguza kwasababu majogoo yekua mengi katika Zizi langu .
Ni wakienyeji safi sio chotara,wana afya nzuri .
Pia naweza kubadilisha kwa mitetea walio waziri au kurudishiana...
Wakuu hesima yenu;
Nimefuatilia kwa kina mjada wa kufuga kuku wote lakini nilishawishika na kufuga kuku wa kienyeji, na nimenunua mashine ya kutotolea vifaranga,inauwezo wa kutotoa mayai 20.
Nimetumia mashine hii mara mbili sasa, mara ya kwanza niliweka mayai 20 yakatotolewa 18, katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.