Tarehe 26/3/1992 marehemu babu yangu alimuuzia *M* sehemu ya ardhi HEKARI 6 katika eneo lake la shamba lake.
*M* alipima eneo alilouziwa na kuweza kumiliki kisheria mnamo mwaka 1996 na kupata TITLE DEED Yenye ukubwa wa hekari 4.6 ( kati yahekari 6 alizonunua kuna sehemu ina jaa maji) akajenga...
Leave WhatsApp Group Without Notification
The best way to leave a WhatsApp group without notification is to opt for the mute or disable group notifications. This way, you will never be prompted about the messages being communicated in the WhatsApp group. You can also turn on this notification...
naomba kujuzwa kuna taratibu gani wakili anayekusimamia kesi, anapokufanyia udanganyifu wa tarehe za kesi kwa kupeleka mbele zaidi ,ili kufanya usihudhurie mahakamani na kusababisha kuonekana haufiki? kwa kumuwezesha ninaemlalamikia kupata ushindi (yaani kuwa upande wa ninayemlalamikia kwa...
nimepokea ushauri wa watu wote , naomba tuzingatie wadau elimu ya kuflash sio nyepesi kiasi mtu kusema anaweza kuelekezwa kwa kutumia whatsapp.
labda tu baadh ya vitu kwa mtu amabaye tayari ameshaanza hiyo kazi maana kila siku vitu ni update na matatizo ya simu yanaongezeka.
naomba kwa ambao...
MH, NDUGU NAKUSHAURI UTAFUTE MWALIMU, MAENEO YA MAKANISA MARA NYINGI KUNAKUWA NA WALIMU WA MUZIKI. KWA MAELEKEZO YA MAANDISHI AMA VIDEO USIFIKIRIE HILO.
KUNA WATU WANAFUNDISHWA KWA VITENDO NA MWALIMU NA WANACHEMKA NAKUSHAURI TAFUTA MWALIMU
ila unaweza jaribu kutazama kwenye hii youtube labda...
nahitaji vijana 5 waliotayari kwa ajili ya kupata mafunzo ya kuflash simu (sofware) mafunzo nitayaendesha zilipo ofisi zangu kigamboni. kwa muda wa wiki2 mfululizo watakao kuwa tayari naomba tuwasiliane . mafunzo yataanza muda wa asubuhi saa3 mpaka mchana wa saa7. nauli na chakula ni juu yako...
UKISHANUNUA DOMAIN BADO HUJAMALIZA KIPENGELE, UNATAKIWA UNUNUE NA HOSTING SERVER NDIPO DOMAIN YAKO ITAKUWA CONNECTED NA BLOG YAKO KWA JINA LA DOMAIN YENYEWE, UTACHUKUA KITU TUNAITA DNS SETTING UTAZIJAZA KWENYE CONTROL PANEL YA HOSTING NDIPO KUTAKUWA NA MAWASILIANO BAINA YA DOMAIN NA BLOG YAKO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.