Mliopata mikopo muwe waungwana msipolipa wenzenu watasoma na nini wakati inaeleweka fika kuwa kila mwaka wanaohitaji mikopo wanaongezeka kwa kasi kuliko makuasanyo ya serikali.
Mimi nakubaliana nawe kabisa. Kuacha watu wapoteze maisha ili posho ziongezwe kwa lazima wakati wanajua fika kuwa wanotibiwa katika hospitali hizi ni watu wa kawaida ni dhambi kabisa.Huko Mbeya hata waja wazito hawakuhurumiwa ubinadamu gani huu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.