Habari wana jf nimehitimu kidato cha nne mwaka jana na kupata daraja la tatu. Lakini nmefaulu zaid art subject na sina ndoto za advanc naombeni ushauli nisomee nn kwa haya masomo?.... Kisw C bios C histo C engli C geo C agr D math F civ D phy F chem F.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.