Search results

  1. MBITIYAZA

    Heaven on Earth baby uko wapi?

    OMG!hahaha sikuwahi isikia popote..mwe mwe!ntajarbuuu kwakweli@nalendwa
  2. MBITIYAZA

    Issa furahi day you can ask me swali lolote

    Hahaaaa sijajua bado..dah deo kisandu!
  3. MBITIYAZA

    Issa furahi day you can ask me swali lolote

    Nimejikuta nacheka tu na swali lako
  4. MBITIYAZA

    Heaven on Earth baby uko wapi?

    Hahaa asante sana mamy..katka kitu nachovutiwa nacho ni lips zangu..sasa zinakaukaaaaaa kama za kangI lugola bwana..ntafanya baadaye .
  5. MBITIYAZA

    Nijuzeni mila, desturi na tamaduni za kulea watoto mapacha

    Hakuna miko yoyote ile jaman!mm ni pacha..ila mapacha hawapend kabisa kutenganishwa...lazma watakuwa wapweke Hadi kupelekea kuumwa kbs.bahat mbaya pacha wangu alifariki 18yrs ago..Waja wakasema mara nyingi pacha akifariki na mwingine hazungushi round .nlipewa hofu kila pahala..nikaambiwa...
  6. MBITIYAZA

    Issa furahi day you can ask me swali lolote

    Hahaa yote haya sababu ya Jpm walah
  7. MBITIYAZA

    Issa furahi day you can ask me swali lolote

    Mm sio bazazi lakin naweza Kunusa kama mabadhadhi...
  8. MBITIYAZA

    Heaven on Earth baby uko wapi?

    Mwee!itupie hapa mamy!naudhika na weather hii lips znakuja ngumu!arghhh naaply vaseline wapiii!arghhh
  9. MBITIYAZA

    Ubwabwa wa siku hizi hauna ladha

    Hahaa safi sana
  10. MBITIYAZA

    Issa furahi day you can ask me swali lolote

    Ohh naomba kwa heshima yako Mambembe unipe hayo maujuzi shost. .K.K.M! (Kizuri kula na mwenzioo )maisha ndo haya haya
  11. MBITIYAZA

    Issa furahi day you can ask me swali lolote

    Ah wapI best..mwanga tu huo..mie sio rangi ya "zahabu'ukitaka rangi hiyo nenda Mbeyaaaaa
  12. MBITIYAZA

    Heaven on Earth baby uko wapi?

    Hahahaaaa! Halelujah
  13. MBITIYAZA

    Ubwabwa wa siku hizi hauna ladha

    Hahahaaaa mamaangu alitutolea copy wanae wote maskini...maana miti na matunda ni dawa!
  14. MBITIYAZA

    Heaven on Earth baby uko wapi?

    Hahahaha Hahahaha! Neybright mkorofi sana sana sana pm yule
  15. MBITIYAZA

    Heaven on Earth baby uko wapi?

    Hahaa nashangaa ww umiss huo wa wap
  16. MBITIYAZA

    Utaratibu na gharama za kupima vinasaba (DNA) Tanzania

    Atleast hayo . .huyo mkemia mkuu wa kukupima bila taratibu anatokea wap
  17. MBITIYAZA

    Heaven on Earth baby uko wapi?

    Hahahaha...nipo tukuyu nakula makatapela
Back
Top Bottom