Hawa wavuvi walio fanya kwa moyo mmoja na kujitoa kuokoa uhai wa wananchi 40 katika ajali ya MV.NYERERE sasahivi wangekua wanaenda kupata ajira kwenye majeshi ya wanamaji au uokozi na wangepitia kozi mbalimbali waweze kuongeza ujuzi katika haya maswala,mfano lile swala la kijana wa kiafrica...
Mkutano kuhusu madiwani wanaohama CHADEMA kwenda CCM kumhunga mkono Rais Magufuli.
Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari amesema madiwani waliojiuzulu na kuhamia CCM na kupandishwa jukaani jana na kusema ni kumuunga mkono Rais Magufuli wanadanganya, wamefanya hivyo kuunga mkono rushwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.