Search results

  1. W

    Lema: Nikimuona mtoto wa Waziri Mkuu Majaliwa au wa Rais Mwinyi anaendesha Bodaboda ndipo nitaomba radhi

    Mwalimu wangu hatuna neno kweri kweri kwenye kiswahili sanifu ila tuna kweli kweli. Usikasirike tunasaidiana
  2. W

    Mwambieni Lissu tulilipwa bilioni 700 badala ya kushitakiwa MIGA

    Mkuu inawezekana una hoja mujarabu tatizo ni aina uandishinuliotumia kuandika umefanya hoja yako isinyae. Chukulia poa ni mrejesho tu.
  3. W

    Life After Life: Je, wajua Magufuli huko alipo anayaona yote? Je, tuendeleze 'double standards' ya 'cherry picking' au tuiachie Karma iwashughulikie?

    Paskali, you are better than this. It seems your thinking and analysis capacity is deteriorating
  4. W

    Barua ya Ole Sabaya akiomba hela kampuni binafsi kusaidia CCM - 2019

    Ukiona kuku anakula mayai yake ujue ana mayai mengine tumboni
  5. W

    Utendaji uliotukuka wa Dkt. Anna Makakala ukimpendeza Rais awateue wakuu wengine wa Majeshi yetu Wanawake

    Naunga mkono hoja. Dr Anna ni msikivu, asiyependa watu waonewe asipenda attention ya media hata katika matukio makubwa
  6. W

    Video: Hivi ndivyo aliyekuwa DC wa Hai, Ole Sabaya alivyotumia madaraka yake vibaya kuiba, kutesa na kuua. Kwanini asiende jela huyu...?

    Unapewa nafasi ya utumishiwa umma ili uwasaidie wananchi. Na kama ukishindwa kuwasaidia basi jitahidi usiwaumize
  7. W

    Kwanini viongozi wengi wa Afrika husalitiwa na inner circles na kisha kuuawa? Waafrika hatuaminiki?

    Jibu ni rahisi mtu wako wa karibu ndio anakujua vizuri. Adui yako wa mbali hawezi kukufikia bila kupitia kwa rafiki yalo wa karibu. “Kikulacho ki nguoni mwako”
  8. W

    Je, Rais alikuwa sahihi kuwaomba msamaha wazee?

    Mkuu kwa hadhi ya jukwaa kama hili leta mada ambazo ni strategic tofautisha nada za whatsapp group.
  9. W

    Mbunge wa Kahama Mjini ashauri Vyuo Vikuu kuwajibika kutafuta ajira kabla ya kusajili Wanafunzi

    Huyu mbunge amekuwa akinifikirisha kwa hoja zake hasa katika sekta ya Elimu. Ninajifunza kuwa kwa namna unavyopanda daraja la kiellimu ndivyo unavyojitenga na natural intellegence na kuongeza artificial intellegence. Mfumo wa Elimu yetu ni wa kucopy na kupaste ila hauzingatii context...
  10. W

    Rais Samia, Watanzania kuruhusiwa kufanya kazi Kenya tuepushe na mtego huo

    Mama shikamo! Umecheza karata yako vizuri kidiplomasia. Hotuba yako imemuingiza Fridom’ king naye akajaa mwenyewe.
  11. W

    Rais Samia ukifanya ziara nchini Rwanda kwa 'Genius' Kagame utafaidika na mengi kuliko ya Uganda na Kenya

    Mkuu nina mengi ya kusema kuhusu bandiko lako lakini sioni sababu ya kufanya hivyo kwa sababu zifuatazo: 1. Humaanishi unachokisema 2. Huna nia njema na nchi yetu 3. Una roho ya ubaguzi iliyopitiliza Ushauri: Kwa faida yako soma kitabu kinaitwa ‘Behind the presidential curtain” kimeandikwa...
  12. W

    Mohammed Mchengerwa apunguze vitisho kwa watumishi na viongozi wa umma

    Wewe mtoa mada una chuki binafsi.
  13. W

    Observation: Nyerere, Mkapa na Magufuli (RIP) wana mfanano wa ajabu

    Mkuu masahihisho kidogo wote ni namba witiri yaani 1, 3, 5 na siyo 1,2,3
  14. W

    Cuthbert Swai ndani ya mtego wa Lema na Mbowe

    Mkuu kama una ushahidi wa kutosha si uende ukafungue kesi? Au umfuate Swai umpe huo ushauri mkuu?
  15. W

    EAGT[ Walokole walioasi TAG] mwaka 1991 waomba Rais aingilie

    TAG mtangulizeni Mungu kwenye jambo hili. Kama Mungu habagui waumini kwa madhehebu ninyi mnapata wapi huo ujasiri? Kwa mbali naona roho ya majivuno ikiwanyemelea ambayo haijwahi kumuacha mtu salama. Naona dalili za kujitenga kitaasisi, kimsimamo na madhehebu mengine hasa yenye imani ya...
  16. W

    Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima: Nina Jina la Kiislamu, ninaitwa Rashidi

    Rashid aka Gwaji boy mbona haya ungeyaeema kabla hujaingia kwenye mchakato yangekusaidi. Kwa sasa jiandae kisaikolojia lolote linaweza kutokea
  17. W

    Uchaguzi 2020 Msanii T.I.D aitaka CHADEMA imlipe kwa kutumia neno "Ni Yeyee" kwenye kampeni zao

    TID acha ujinga ule wimbo ulioiga kutoka kwa mwanamuziki wa Msumbiji ukaufanya wa kwako ulimlipa shilingi ngapi?
  18. W

    Uchaguzi 2020 Why I support Nyalandu and not Lissu

    Tukielewa dhana ya uanaharakati utajifunza kuwa kwa muktadha wa Africa ina historia ya kuwa na activist presidents. Kwa lugha rahisi tunaweza kusema Activism is the process of campaigning in public or working for an organization in order to bring about political or social change. He believed...
Back
Top Bottom