Search results

  1. user.name

    Tukutane hapa Android application developers

    Ads za kwenye app mkuu ndio natumia ku-monitize. Option ya kununua app nzima anayo na alikuwa nayo toka 0 users, sasa ni 100K plus users bei si chini ya 1M. Ikiwa 0 users bei ni laki 5. Kama unafanya au umefanya hii business utanielewa kuwa hizo ni bei ndogo sana ukilinganisha na ads za Google...
  2. user.name

    Tukutane hapa Android application developers

    Thanks! Ndio nimeanza kuzi-update after a long time. Nimeamua kuzipa material design look.
  3. user.name

    Tukutane hapa Android application developers

    Naona kuna wanaopinga uhalisia wa code ya jamaa lakini, kwa maoni yangu nadhani source code zipo ili kukurahisishia mchakato mzima. Unaweza ukawa una idea ila usijue pa kuanzia. Anyway mimi nimetengeneza DjChoka Music App, Kurasa na nyingine zinazofanana na hizo (zilizopo kwenye account yangu ya...
  4. user.name

    Msaada: Kuweka App playstore

    wasiliana nami kama bado hujapata msaada 0683078351
  5. user.name

    Nini tofauti kati ya Responsive Website na Mobile Application?

    Mobile app ni muhimu kwa kuwa unaweza kufanya vitu vingi ambavyo huwezi/ni ngumu kufanya na responsive web (more user friendly). Mfano mdogo tu ni Google Play Store. Iko responsive kwenye browser nyingi ila haitoshi wakaongeza na mobile app. Kwa hatua tuliofikia users wanapendelea sana mobile...
  6. user.name

    Tanzania News & Blogs - RSS Reader - Android App + SourceCode

    Wazo zuri pia. Kwa haraka haraka nime-update post hii na kuweka link ya makala inayofafanua faida za RSS kwa makundi mawili ambayo ni publishers na subscribers wa blogs na tovuti zote kwa ujumla. Link hii hapa tena > RSS Advantages Ila kama ulivyopendekeza nitatafuta muda kuiandalia post maalumu.
  7. user.name

    Tanzania News & Blogs - RSS Reader - Android App + SourceCode

    Kwa anayetaka hii android app ya kusomea RSS feeds pia source code ambayo imetumika kutengenezea. Kurasa Tanzania SOURCE CODE UPDATE: Kama wewe ni blogger au mtumiaji wa blogs na ungependa kujua faida za RSS basi soma hii makala hapa > RSS Advantages
  8. user.name

    Niulize chochote kuhusu eneo la Kimara!

    haha duh! mkaushie, hata Google haina majibu ya kila kitu.
  9. user.name

    Ntawezaje kuuza apps google play kwa njia rahisi

    Ni njia rahisi ila ugumu unakuja katika kupata users kirahisi na pia nadhani systems za malipo hazipo efficient kwa upande wa bongo. Google Play Store inarahisisha kila kitu sema kwa bahati mbaya bado haijaanza ku-support developer wa Tanzania. Nadhani/tumaini siku za karibuni wataanza...
  10. user.name

    Kenya News and Blogs - RSS reader - Android App

    Kurasa Kenya: All in one RSS reader app: Get the latest Kenya news, newspapers, events, music, fashion, movies & more from your favorite websites and blogs.
  11. user.name

    Android mega thread; Maswali, Tips and Tricks, Kila kitu kuhusu android

    Mara nyingi waandaaji wa apps wanaruhusu kudownload bure kwa kuwa wanategemea adds ziwaingizie kipato. Kwa hiyo kama app inauzwa basi hakuna haja ya kuweka adds kwa kuwa kipato kinapatikana kutoka kwenye mauzo hayo.
  12. user.name

    Android mega thread; Maswali, Tips and Tricks, Kila kitu kuhusu android

    Android app ya habari, magazeti nk kutoka kwenye blogs na mitandaoni kwa ujumla (RSS feed tu). Enjoy.:cool2: Kurasa Tanzania
  13. user.name

    Naombeni msaada wa link ambayo naweza download whatsapp for pc

    Download Link: BlueStacks - Home Bluestacks is a Silicon Valley-based software company that produces BlueStacks App Player and BlueStacks Cloud Connect. Both products are designed to enable Android applications to run on Windows PCs, Macintosh computers and Windows tablets. (Source)
  14. user.name

    Android programmers

    You are right sir. Android ni brand na vilevile ni platform for creating apps and games ambayo msingi wake ni Java. Well! Thanks for correcting me.
  15. user.name

    Android programmers

    Nilichoelewa kwenye swali lake ni kuwa kama unahitaji kuwa android developer ni lazima kujua programming languages nyingine yaani "as a PREREQUISITE". Kuna wengine wanadhani kujua Android ni lazima ujue Java kwanza. Android ni programming language kwa hiyo ni lazima kuijua ili kuweza kutengeza...
  16. user.name

    Android programmers

    Sio lazima uwe unajua progamming languages. Mafunzo haya yameandaliwa kwa ajili ya watu wa aina zote.
  17. user.name

    Android programmers

    As most of developers, the main goal is to publish paid applications, unfortunately, developers who reside in Tanzania won't be able to sign up for merchant account, thus they can't sell apps through Google's platform (May be in near future). However, developers can still earn money with free...
  18. user.name

    Wale wa Android

    Bado tu
  19. user.name

    Wale wa Android

    kijana anapiga hatua tu
Back
Top Bottom