Polisi wamekuwa wauwaji kuna haja ya katiba Mpya pamoja na kuvunja na kuunda upya jeshi la polisi lenye kuwajibika kwa Jamii na cyo kulinda uovu na uhalifu
Wewe unaijua? Hahahahhaa kama hujui wafadhili ambao wako chini ya kanisa na hilo jina na Tec waliomba isamehewe deni Siku ya kusimikwa Askofu Amani kama hujui uliza.
mjinga wewe huijui st Jude lakini sawa Baraza la TEC na rais wao alisema tume wanaiamini inafanya kazi nzuri kauli ya Padre Kitima na na Askofu Nyaisonga kada kindaki ndaki wa kijani walipe tu wangekemea tume mambo yasingekuwa kama ilivyo leo
acaha tunyoshwe tu maana TEC walionesha kuiamini tume ya uchaguzi pamoja na irregulaties Fr. Kitima alisema walipe kodi sasa TEC kila mtu ataguswa utawala wa sheria ni muhimu sana unachotaje hela kutoka kwenye account watoto wanasoma bure si waliomba msamaha siku ya kusimikwa Amani kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.