Search results

  1. Katikomile

    Emigani y’Ekihaya (Misemo ya kabila la wahaya)

    . ▼ VITENDAWILI VYA KIHAYA 1. Abake bahondela abangi— MAIZI 2. Abamulilo baikala nibalila—MWIKA 3. Abamwetwekile tibaikugamba wenene nagamba— NYUNGU ELIKUTOGOTA 4. Abana ba Mungu tibabalwa —NYANYINYI 5. Abana bange babili basiba nibarwana chonka omukiro tibarwana—LWIGI 6. Abana bange...
  2. Katikomile

    TZS 800m/acre yaweza kuwa sawa Kigamboni. Nitaeleza!!!!!

    Ungejaribu kuutendea Ubungo wako haki angalau ukajenga hoja! Mimi nimetoa MTAZAMO wangu kwa uelewa wangu, iwe kuna ufisadi au hakuna, lakini TZS800m sio kwamba ndo bei ya Ardhi kwa eka, ila ni shareholding value ya project cost
  3. Katikomile

    TZS 800m/acre yaweza kuwa sawa Kigamboni. Nitaeleza!!!!!

    Manunuzi Kwa maana ya kununua Ardhi na mwenye Ardhi kulipwa chake, haikufanyika! Wote wamewekeza
  4. Katikomile

    TZS 800m/acre yaweza kuwa sawa Kigamboni. Nitaeleza!!!!!

    Simjui DAU na wala hanijui! Hoja yangu ni kwamba TZS800m/acre sio bei ya ardhi n shareholding value kwenye mradi! Mwenye Ardhi hajauza ameINVEST jointly na NSSF! Ungesoma maelezo yangu ungeelewa ninachokimaanisha ila Kwa sababu you have that ufisadi syndrome in your mind, itakuwa ngumu kunielewa
  5. Katikomile

    TZS 800m/acre yaweza kuwa sawa Kigamboni. Nitaeleza!!!!!

    Hapo cha kuangalia ni kama gharama za mradi ziko inflated na hivyo kupelekea share ya mwenye land kuwa kubwa!
  6. Katikomile

    TZS 800m/acre yaweza kuwa sawa Kigamboni. Nitaeleza!!!!!

    Hapo ndipo ngoma nzito!!! Mwekezaji hajauza Ardhi, ameINVEST, yeye pamoja Na NSSF! Wote ni wabia! Ndio maana hiyo hoja ya TZS800m/acre haina mashiko hapo! Ukokotoaji umejikita kwenye anachomiliki Kama share yake kwenye ubia ati ndo bei ya ardhi!
  7. Katikomile

    TZS 800m/acre yaweza kuwa sawa Kigamboni. Nitaeleza!!!!!

    Umeconclude kama vile nawatetea NSSF, ungesoma umetulia ungejua hoja yangu ina-base wapi? Ila kama utasoma huku una mawazo ya ufisadi hutanielewa!
  8. Katikomile

    TZS 800m/acre yaweza kuwa sawa Kigamboni. Nitaeleza!!!!!

    Asante Mkuu! Leta na wewe mchanganuo wako, argue intellectually basi! Au hujaelewa?
  9. Katikomile

    TZS 800m/acre yaweza kuwa sawa Kigamboni. Nitaeleza!!!!!

    Inawezekana kabisa gharama ya mradi ikawa ni kubwa hadi kufanya shareholding value ya mwenye Ardhi iwe juu, lakini Kwa ukokotoaji kwamba shareholding value ya landowner ndo bei ya kiwanja, hili Mimi sioni Kama Lina mantiki
  10. Katikomile

    TZS 800m/acre yaweza kuwa sawa Kigamboni. Nitaeleza!!!!!

    Hakuna manunuzi yaliyofanyika hapo, ni joint venture arrangement!!
  11. Katikomile

    TZS 800m/acre yaweza kuwa sawa Kigamboni. Nitaeleza!!!!!

    Ukiisoma hoja yangu huku una syndrome ya ufisadi kichwani mwako, kweli utaona blah blah!!
  12. Katikomile

    TZS 800m/acre yaweza kuwa sawa Kigamboni. Nitaeleza!!!!!

    Akilipwa na nani? Azimio Housing na NSSF wote ni wabia katika huo mradi chini ya kampuni ya HIFADHI BUILDERS kama sikosei! Wote wamewekeza, na at the end of the day wanagawana dividends!! Nafikiri ni kwamba hoja inajengwa kwa hisia za kwamba kuna ufisadi lakini mimi nimejaribu kuangalia hiyo...
  13. Katikomile

    TZS 800m/acre yaweza kuwa sawa Kigamboni. Nitaeleza!!!!!

    Ardhi haijauzwa ipo katika ubia!
  14. Katikomile

    TZS 800m/acre yaweza kuwa sawa Kigamboni. Nitaeleza!!!!!

    Pole sana, Mimi Sipo NSSF, nimetoa MTAZAMO wangu na wala siwatetei NSSF ndo ma'am nikasema inaweza kuwa, sijasema ni halali!!
  15. Katikomile

    TZS 800m/acre yaweza kuwa sawa Kigamboni. Nitaeleza!!!!!

    Kumekuwa na hoja nyingi sana kuhusiana na miradi miwili ya NSSF, iliyoingia na Azimio Housing kule Kigamboni na Arumeru-Arusha! Hoja kubwa imejikita katika project ya Kigamboni kwamba ni kwa vipi eka moja iuzwe kwa TZS 800m? Hii bei inaweza kuwa sawa ama si sawa kutegemea na mchanganuo upi...
  16. Katikomile

    TZS 800m/acre yaweza kuwa sawa Kigamboni. Nitaeleza!!!!!

    Share yake kwenye mradi ilikokotolewa na kisha kulinganisha kama ndo thamani ya ardhi, then ndo bei hiyo ikapatikana
  17. Katikomile

    TZS 800m/acre yaweza kuwa sawa Kigamboni. Nitaeleza!!!!!

    Kumekuwa na hoja nyingi sana kuhusiana na miradi miwili ya NSSF, iliyoingia na Azimio Housing kule Kigamboni na Arumeru-Arusha! Hoja kubwa imejikita katika project ya Kigamboni kwamba ni kwa vipi eka moja iuzwe kwa TZS 800m? Hii bei inaweza kuwa sawa ama si sawa kutegemea na mchanganuo upi...
  18. Katikomile

    Naibu Waziri wa Afya Dkt. Kigwangalla afanya ziara ya kushtukiza kwa Dr. Mwaka

    Sidhani kama Prof. Maji Marefu kafungua chuo Na kuanza kufundisha kwa kutumia huo Uprofesa wake!!
Back
Top Bottom