Maisha ya swahili ni shida tupu hapo ndio tunazalisha vitoto malaya madawa ya kulevya uchangudoa ushoga
Mikoani kutamu saana kama mby city hali ya hewa maji umeme nyumba bora chakula ndio sio ya kuumiza kichwa maadili
Inaweza kua wengi lkn walio tutengenezea bike na kweny sehem za kaz sio wajinga kusisitiza kuvaa element
Kama ujui unaweza kupondeka ukawa nyanga nyang’a lkn kama brain haijapata hitrafu uwezekano mkubwa wa kupona upo sasa wenzetu huduma za hosp na amburance zipo kwasana mtu kabla hajapoteza...
Inaonyesha ulipendezwa na tukio la kinyaama kama hilo
Shame on u
Eti tupo upande wa black america marekan wanavyo andamana wakati nafuu wazungu kuliko nyie
Kiimamani Kagera yote ni lango la matatizo vita ugonjwa balaa njaa na matetemeko
Nisehemu ya kuiombea saana
Angalia vita ya kagera mikoa yote ya mipakani hatujawai pata vita japo tuna ma conflict kama ziwa nyasa mipaka ya kilimajaro mt nk
Ugojwa balaa la ukimwi hata ebora inaweza kuingilia...
We with draw competition
So stick to the point if there is no competition there is actually no efficiency
Kwanini tulivunja mifuko mingine hapo tunakosa ushindani kama tunakosa ushindani basi hakuna uwajibikaji bora
Crdb ni bora tu pale akishindwanisha na nmb,postal bank nbc nk
Nakumbuka kauli hizi zililindima sana enzi za kabla ya uchaguzi 2010
Kipindi Wasira tyson yupo fire kua
Oooh CHADEMA kufikia uchaguzi itakua imekufa lkn waapi ikaja kabla ya uchaguzi 2015 zitto alipo ondoka watu wakasema ssa ndio mwisho mara hora ikaja wakina dr slaa ndio kifuu kimekoleeaaa...
Usijiridhishe sana iyo ni mikakati ya chadema nikupe sir inaitwa if u cant fight join them negatively in hypocrisies yaan kiunafiki
Kula ccm kura chadema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.