labda akatafute ubunge Kigoma huku Rombo hana mchango wowote Ben saa nane ni msaliti tokea enzi za akina zitto Rombo hatuwezi chagua debe tupu kama ben
Ccm hata wangeniteua mimi kuwa mgombea wao nisinge jipigia kura wala kuipigia kura Ccm msimamo wangu uko wazi kura yangu ni ya wazi kuanzia rais hadi uenyekiti wa kitongoji nawapa ukawa mchana peupe.
mimi Niko na maoni na ushauri tofauti kidogo kwamba badala ya kuachiana hivi hivi ni bora uundwe utaratibu wa kura za maoni yaani vyama vyote vifanye uteuzi wa awali ndani ya vyama vyao alafu watakao patikana wafanyiwe kura ya maoni ndani ya ukawa kisha apatikane mmoja atakae peperusha bendera...
ccm ni mapumbafu machizi na making a wala unga bangi wapuuzi,
kila kukicha wanateua tume kamati za uchunguzi lakini zinapotoa majibu wanazidharau. tume ya kisanga ilikuwa na asilimia 100% ya wajumbe toka ccm matokeo yake yako kapuni hadi leo. Tume ya Francis Nyalali ilikuwa na asilimia 100%...
unaota kabisaa ndoto za mchana, sisi wadandanyika kama sio wadandianyika tunapenda kuongea sana na sio watendaji, Nataka kujua kusikia toka kwa je umeshajiandikisha kwenye daftari la mpiga kura? ili uweze kushiriki kupiga kura ifikapo December 14? kama ndio nakuruhusu kuendelea kuwahamasisha...
pilipili usio ila nayo iko shambani inakuwashia nini? maulidi si yako kanzu waivalia nini? unakiherehere cha kuhemewa kisogoni, dume jike tutakutongozea hapa hapa mwishowe utajikuta na wewe unaichangia Chadema kuleta mabadiliko ya kiutawala wa haki hapa nchini, kama unaakubaliana na mimi rusha...
mimi nilikuwa wa kwanza kuzindua kwa laki tatu nanusu Mara ya pili nikatuma 7500 iliyobaki kwenye sim ila hii ya pili bado haijarudisha SMS mtandao umelemewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.