Hapo ndo kunatokeaga sintofahamu watu undugu au urafiki unakufa bila sababu,
Kwa vipimo vyako unaona kakosea na kwa vipimo vyake anaona yuko sawa ila wewe umemind na humwambii ( kinyongo), embu kunjua moyo kama mmezoeana kama ulivyosema ongea nae straight forward kama hujapendezwa basi yaishe...
Ningekushauri uchukue iyo gari ukae wewe mwenyewe usiweke dereva,uwe unakodisha na kuifanya uber.
Then umalizie finishing nyumba yako uunganishe na Airbnb ni biashara inayokuwa kwa kasi hasa miji ya kitalii kama iyo.
So utakuwa na income revenue mbili Airbnb na gari lako kisha uje ujenge icho...
Heri,
Iliuweze kuelewa lazima ujue kusudi ni nini?
Je kusudi ni kufa? Hapana ni kuishi
Je kusudi ni mabaya? Hapana ni Mema
Je kusudi ni kushindwa? Hapana ni Kushinda
Palipokusudiwa ni wapi? Je ni mbinguni? Hapana ni juu ya nchi (zekaria 14:9,ufunuo21:3)
Muumba alitukusudia tuishi umilele...
Pole na hongera kwa ushindi,
Kwanza ili uelewe ni kujua kusudi,tulikusudiwa tuwe na ONO ili tuone ya mbele kama ni mazuri tushukuru yatokee na kama ni mabaya tushukuru yafutike (efeso 3:10).
Hayo ulioota ni mambo uliyopitia tangu unazaliwa hadi sasa yanamadai kwako yanataka kukuzamisha...
Maji ya chemichemi ni bora zaidi hasa chanzo chake kikiwa hakijawekewa takataka.
Ya mvua hata ukinge leo ukiongea kuna hali flani ya utelezi na yanawahi kuweka wadudu
Mwanamke ukijua kupika na kubadilisha menu nyumbani kila mwanaume atakula nyumbani.
Ila sasa unakuta daily wali marage, ndizi, ugali dagaa au tambii nyama, hata ikiachwa 50k msosi haubadiliki why!!!!
Badilikeni na pia jifunze mmeo anapenda vyakula gani kama ni makange mbona hata home...
Kweli familia zinatofautiana hasa huku mjini mwendo wa bajeti,imenikumbusha mama mkubwa huwa anapika chakula kingi ukienda mgeni lazima sahani ijazwe tena ukiwa wakiume ndo usiseme yaani mlima kilimanjaro huo wa msosi wowote.
Sikukuu sasa ndo anachinja kitibaridi na kupikia sufuria za...
Warumi 1:26-27
Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili;
wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa, wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao...
Dini zote na mifumo ya dunia iliyotangulia ndio wananafundisha kwamba kifo ni lazima ila Muumba alikusudia tuishia umilele hapahapa juu ya nchi.
Hosea 13:14
Nitawakomboa na nguvu za kaburi; nitawaokoa na mauti; ewe mauti, ya wapi mapigo yako? Ewe kaburi, ku wapi kuharibu kwako? Kujuta...
Tanzania 🇹🇿 taifa Baba na Chanzo cha baraka kwa mataifa mengine wote watajua.Kama alivyosema Yesu miaka 2000 iliyopita ndo imetokea sasa
Mathayo 21:43
Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.
Pole sana ndugu na pia hongera kwa kupata ujasiri wa kushare,
Kwa hali aliyonayo mama yako haitakiwi kukutoa kwenye mstari ukizingatia sasa hivi kuna dawa akitumia kwa ufasaha (good adeherence) atakuwa vizuri tu ndani ya muda mfupi na hakuna gharama zozote katika clinic zote (CTC) za HIV, na...
Sijalazimisha ndugu naelewesha kwa upendo (1korintho 13:13)maana hakuna aliyekuwa anayajua haya zaidi ya Muumba.
Maana dunia na ulimwengu waliificha kweli isijulikane ila sasa itajulikana maana Muumba ni mmoja na ni wa wote na anajitegemea yeye mwenyewe (warumi 11:36, 1korintho 15:24-28)
Yeye...
Kwanza lazima ujue jambo hili
Kwanza lazima ujue jambo hili
•Malkia wa mbinguni (yeremia 44:17-18)
•kahaba mkuu na mama wa makahaba (ufunuo 17&18)
•Mwanamke mchawi (kutoka 22:18)
•Yezebeli (1falme 19:1-2)
•Mama wa wote wenye uhai (mwanzo 3:20)
•ufunuo (ufunuo 12:1)
•wanawake saba (isaya 4:1)
•...
Kila aliyeumbwa kabla hajaingia kwenye tumbo la mama yake alikuwepo tena akiwa mkubwa kabisa sio mtoto, (Yeremia 1:5a
Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua).
Ishu inakuwa baada ya uumbaji kutekwa kila mmoja alikuwa ameibiwa masterplan yake (KUSUDI),falme na mamlaka walikuwa na uwezo wa kuona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.