Kila mtu aendelee kuamini atakavyo kuna wanamuona Magu kama shetani na wana sababu zao na nzito na kuna wanaomuona kama malaika na mkombozi na wana sababu zao pia
Kwa sisi tuliopitia JKT enzi hizo tunajua nafasi itaenda kwa Lt Gen. Mkingule ambaye ni C of S.... swali sasa ni nani atakua C of S baada ya Mkingule kua CDF jibu ni ngumu kidogo ila kuna Maj Gen. kibao ila wawili likely mmoja kutoka kanda ya ziwa na mwingine kutoka upande wa pili
Kuna wakati naona giza mbele na kuna wakati naona mwanga
Kuna Mipango ya Mungu na kuna Mipango ya shetani
Sioni mama akiendelea 2025 ....naona katiba mpya ikipatikana.
Serikali yoyote inayojali raia wake wangefanya jambo kupunguza makali Kwa mfano Kenya wameweka ruzuku sisi wala hakuna haja ya ya ruzuku ni kuondoa baadhi ya kodi kwenye mafuta ambayo kimsingi haina maana zaidi ya washenzi wachache kuiba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.