Search results

  1. M

    Elimu ya tanzania inaelekea wapi?

    Ninashindwa kuelewa haya mambo yanayotokea katika SECTOR MUHIMU kabisa ya elimu yana lengo gani. Hivi karibuni Wizara ilitangaza alama mpya na mpaka ikafika kipindi kukawa na maelewano hafifu na hadi ikaundwa tume kuchunguza mambo haya, lakini nimeshangaa sana alama mpya zilizotolewa hata...
  2. M

    Wabunge wengine bwana....

    Kwani alichokiongea Nyambari kinaewekana ama ameongea kwa vile amepata fulsa hiyo? Hii kweli inawezekana Kiswahili kutumika kufundishia katika nyanja zote za elimu? Kwa mtazamo wangu hatua hiyo bado hatujaifikia kwa sababu kiswahili hakina msamiati wa kutosha.
Back
Top Bottom