Kinachotokea now ccm watu wanadhani chama kinaanguka,siyo kweli!!hayo ni mawazo ya watu ambao wamezoea kukandamizwa,and hawapo used na freely watu kama jamii kujieleza kile wanachoamini ndani ya jamii!!watu wengi bado wanadhani watu kukaa kimya na machungu moyoni huku wakiumizwa ndo siasa bora...
Helo nguys&ngirls!2po pamoja sana katika kuitetea our lovely Tanzania!2po pamoja sana katika kumake sure miili yetu inaish as long years as possible!meeeeeeen ULEVI NOMA,UNALOSTISHA!!!GO ASK MY DAD ATAKUAMBIA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.