Mimi swali langu lipo kwenye moto.
kwamba watekaji walijaribu kulichoma moto gari lakini likakataa kuwa na polisi walikuta madumu ya petroli.
Je walinzi hawakuuona moto huo?
Wakuu, gazeti la Jamhuri limeripoti kuwa Mo alikuwa/ana micro chip mwilini ambayo imerekodi tukio zima la kutekwa kwake na kupeleka report kwenye server iliyoko Marekani.
Kama ni kweli basi tusubiri ya Jamal Khashoggi, Uturuki na Saud Arabia.
Kabila la Bodi nchini Ethiopia.
Wanaume huwa wana kipindi cha kushindana nani ni handsome kuliko wote. U handsome hutafasiriwa kwa unene ma kitambi. hivyo wanaume wanaoshiriki shindano hutunzwa sehemu maalamu kwa muda wa miezi sita au zaidi wakila saana na kunywa zaidi maziwa na damu ili...
Ufafanuzi toka GT wa JF. Baada ya mapinduzi ya 1963 Zanzibar iliendelea kuwa huru?
1. Nani mkuu wa majeshi kwa sasa nchini Zanzibar?
3. nani Waziri wao wa mambo ya ndani kwa sasa?
4. Nitajie balozi mmoja anaeiwakilisha nchi ya Zanzibar nje ya nchi.
Mchakato kuhusu kumtangaza mtakatifu Julius Nyerere ulizinduliwa na Jimbo Katoliki la Musoma mwaka 2006. Je, umefikia wapi?
Jibu la swali hili nisentensi moja tu kama tutakavyoona.“Mchakato” wa utakatifu ni jambo la kihistoria, hivyo unaeleweka kwa kuieleza historia yake.
Ukristo ni dini...
Hivi wabunge viti maalum hawaoni hizo juhudi?
Natabiri kuwa baada ya bunge hili kuvunjwa kwa ajili ya uchaguzi nao wataunga mkono maana they will have nothing to loose.
Kwa hiyo Mayalla unatutaka tuanze kutamka kuwa serikali imeshindwa tunaisadia?
Usituchonganishe na serikali. Acha waboronge kabisa mpaka waombe poo
Kama huyu mtu aliyezungumzwa hapa ni Lissu, halafu ni kweli Lissu yamekuja kumtokea mambo mabaya, inawezekana kabisa, aliyetoa kauli hii...
Kauli ya mkuu wa mkoa wa Dar "kutekwa Mo ni tukio jipya na la aina yake" ina logic kubwa kama itafafanuliwa alimaanisha nini?
Kihisia; kila mtu anaweza kuitafasiri kwa jinsi anavyofikiri lakini....
1. Yawezekana matukio ya nyuma ya watu kutekwa mchongo wote alikuwa anaujua na hivyo yalikuwa ya...
ebu nielimisheni hapa.
Ina maana mhandisi hajali chombo chake kinabeba uzito gani, kazi yake ni kuangalia kama kinaweza kutoka na kufika tu? What if kikizidiwa na mizigo is he not concerned?
Huyu mhandisi bado ahojiwe vizuri si ajabu he was benefiting from the tragedy.
Inakadiliwa kuwa Tanzania 80% ya waazi wake wanategemea kilimo na ufugaji na kilimo ni uti wa mgongo kwa kauli mbiu ya taifa.
Nimetembelea vijiji kadhaa mkoani mwanza, sumiyu, shinyanga, mara na Geita.
Mwaka jana wakati wa msimu wa kilimo wilaya nyingi wananchi walilazimishwa angalau kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.