Search results

  1. Malembe

    Niko njia panda; Msichana niliyetaka kumuoa ametoroka nilipotaka kwenda kumlipia mahari

    Asante hata mimi naona hivyo, maana naona ni mikosi tu
  2. Malembe

    Niko njia panda; Msichana niliyetaka kumuoa ametoroka nilipotaka kwenda kumlipia mahari

    Natumain wadau mko poa, hebu cheki huu mkasa halafu unisaidie, kwa umri ni above 30, nilikuwa ktk mahusiano na binti mmoja 2007 tukapanga mipango ya kufunga ndoa lkn hilo likiendelea alikuwa akiishi Moro na mimi hapa dar, akawa anakuja baada ya muda miezi Minne, akija anakaa wiki anaondoka...
  3. Malembe

    Nahitaji gari

    Asante mkuu, Aina gani nyingine ni nzuri tofauti na hizo! Ambazo ulaji wake mafuta ni mzuri?
  4. Malembe

    Nahitaji gari

    Hilo nalo neno mzazi
  5. Malembe

    Nahitaji gari

    Asante mkuu, naona Kuna harrier nyingine zina cc2365 vipi hizo
  6. Malembe

    Nahitaji gari

    Wanasema bandarini eti unalipia gharama mara mbili ya thaman ya gari, so hiyo 14 ni ya usafiri tu au mpaka kulipia mambo ya ushuru
  7. Malembe

    Startimes local channel sasa kulipiwa 6,000/=

    Hii ndio nchi ya wadanganyika bwana kwani humjui? Kwenye vyombo vya habari wanasema local channel bure, lkn chini ya kapeti wanafyeka
  8. Malembe

    Baada ya Scorpion sasa aibuka Rambo maeneo ya Stakishari

    Huyo jamaa dawa yake ni kuchomwa moto tu kama magereza hawajamfunza basi dawa yake kiberiti
  9. Malembe

    Nahitaji gari

    Mko poa mjengoni, ndoto yangu ni kuwa na gari mwaka huu na ninapenda harrier ama Brevis kiwango changu ni milioni 12. Je ubora na matumizi ya mafuta ukoje? Naomba ushauri wadau
Back
Top Bottom