Wasalaam ndugu zangu wa JF. Aise ndugu zangu wa jf mwenzenu leo Mwenyezi Mungu kanijalia nimekamilisha miaka 25.
Fanyeni kunitakia kila la kheri katika maisha haya.
"HAPPY BIRTHDAY TO ME"
king otaligamba
Ahsanteni sana
Habari za asubuhi ndugu wa JF. Kimsingi baada ya muda mrefu kupita bila kuzamia katika mtandao wa kijamii wa Facebook /uso wa kitabu nadhani ndio sababu iliyonifanya nishangae kuona hii misamiati mipya. Sasa basi bila kuchoshana sana wajuvi naomba kusaidiwa maana halisi ya haya maneno.
*...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.