Nyie ndio wambea,huna namna ya kumstahi mwenzio?? amekataa usioneshe baadhi ya mazingira ya hapo nyumbani kwao(jengo)Kwa nini ulazimishe,unakomaa na picha,subiri zamu yako,msiba wa kwenu ndo utaruhusu picha aina zote.!,tafta namna nzuri ya kupiga picha,waombolezaji waonekane basi!
Hivi
'democracy ya kenya" walioililia kina G.Lema na P.msigwa ndo hiyo!!!!? wakiwa live,kule kenya walisifu kuwa kenya wako mbele sana kidemocrasia kuliko Tanzania!!
mm naona sisi ndo tuko mbele kidemokrasia kuliko wao!
wao ndo wanapaswa kuiga kutoka kwetu.....
yaani Tanzania tuige hayo ya...
huyu jamaa anajitahidi kweli kuleta maendeleo ya kweli
lakini kuna baadhi ya watu hawaridhishwi na wanapuuzia utendaji kazi wake!(magufuli)
-anajenga reli (treni ya umeme) ambayo kwa tanzania ilijengwa miaka zaidi ya mia iliyopita,leo anaijenga.!!
anatimiza mradi mkubwa wa umeme wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.