Kabla ya kauli ya Ngeleja kuhusu kupungua Kwa mgawo wa umeme,wakazi wa bwiru tulikuwa twatendewa haki sana.
Ila baada tu ya kauli ya ngeleja makali ya mgawo yamezidi na sasa twapata umeme kwa usiku kuanzia saa 4 na kuzimwa saa 12 asubuhi.
Mathalani,jana umeme umekatwa saa 12 na ukarudi saa 9...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.