Sasa si ajabu tena kuona mchezaji kutoka klabu ya Tanzania anaingia katika kinyang'anyiro cha tuzo ya mchezaji bora Afrika. Piga kura yako kupitia link hapa chini ili kumpa nguvu kijana kutoka Lunyasi. Hii pia itakuwa ni changamoto kwa wachezaji wengine!
https://bit.ly/2Qk87eH...
Habari wana jukwaa!
Mimi ni kijana niliyehitimu shahada ya elimu katika hisabati ninaomba mwenye channel ya kuniwezesha kupata kazi anisaidie mana hali sio nzuri.
Kama nilivyosema "natafuta kazi yoyote" itakayoniwezesha kujimudu mimi na kusaidia wazazi japo kidogo, nipo tayari Kwa hilo.
Kazi...
Wassalam wanajukwaa.
Afya kwa mwanadamu ni tunu kubwa ambayo kuwepo kwake kunamuwezesha (binadamu) kwa kiwango kikubwa kuwa ni mwenye furaha na utulivu kwa ujumla.Ni dhahiri kwamba mwili wa binadamu unapokosa tunu hii adhimu huwa ni wenye kuathirika katika mambo mbalimbali kama vile...
Nawasalimu wana jukwaa.
Awali ya yote,mimi ni mdau wa elimu na hivyo natambua vizuri ulazima wa kuwepo elimu bora kuanzia msingi hadi elimu ya juu.Na kwa maana hiyo,naunga mkono UHAKIKI WA UBORA WA VYUO VYA ELIMU YA JUU.
Jana ( November 21,2016) waziri mwenye dhamana ya elimu ametangaza kuanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.