Search results

  1. nickder

    Natafuta kazi yeyote ya mashambani

    Habari wanajukwaa mm ni kijan miaka yangu ni 27 natafuta kaz yeyote ya mashambani ili niweze kujikim kimaisha. 1. Kusimamia shamba,mazao ya nafaka matunda 2. Kusimamia miradi ya ufugaji, km vle kuku ngombe wa maziwa nguruwe, 3. Kusafisha shamba por(kufyeka na kungo'oa viski) kweny Kilimo nipo...
  2. nickder

    Pombe ilichonifanyia: Ndoto zimeyeyuka nahisi ‘nimeukwaa umeme’, nina hofu huenda nisiishuhudie Tanzania ya Viwanda

    Habari zenu wanajamvi, Ni imani yangu kuwa mu wazima afya na mupo na uhakika kuendelea kuishi vyema mkipambana kutimiza ndoto zenu, mkiwa hamna msongo wowote wa mawazo. Mimi ni kijana, miaka 26 naitimiza mwezi wa 12 tarehe 5. Ni kwa muda wa mwezi mmoja sasa nimejikuta nikiikosa furaha...
Back
Top Bottom