Habari wanajukwaa mm ni kijan miaka yangu ni 27 natafuta kaz yeyote ya mashambani ili niweze kujikim kimaisha.
1. Kusimamia shamba,mazao ya nafaka matunda
2. Kusimamia miradi ya ufugaji, km vle kuku ngombe wa maziwa nguruwe,
3. Kusafisha shamba por(kufyeka na kungo'oa viski) kweny Kilimo nipo...
Habari zenu wanajamvi,
Ni imani yangu kuwa mu wazima afya na mupo na uhakika kuendelea kuishi vyema mkipambana kutimiza ndoto zenu, mkiwa hamna msongo wowote wa mawazo.
Mimi ni kijana, miaka 26 naitimiza mwezi wa 12 tarehe 5. Ni kwa muda wa mwezi mmoja sasa nimejikuta nikiikosa furaha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.