Takribani siku kadhaa zimepita matangazo mbalimbali Yamesikika juu ya wateja wa Mitandao ya simu ...ya kuwa unaweza kuhama kutoka mtandao mmoja na kwenda mwingine pasipo kubadili line yako....
Naomba kujuzwa faida na madhara ya kuhama mtandao pasi kubadili namba ...great thinker msaada nausubiri..
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mh. Amina Masenza. Amesema kuwa ulezi na makuzi ya mtoto katika jamii, mtoto huharibiwa na wazazi siku 1000 tangu kutungwa mimba.
Ameyasema hayo alipokuwa anazindua klabu ya Kitivo cha Saikolojia mapema leo alipoalikwa kama mgeni rasmi katika chuo kikuu Iringa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.