Endeleeni kusema ooh hawa wanapiga tu kelele mitandaoni... ooh wanaharakati uchwara... ooh hawana jipya wanapinga kila kitu.
Endeleeni kuwazodoa wanaowasemea badala ya kujisemea wenyewe. Makelele yanasikika! Na tutapiga sana makelele.
Yani post zote ujasoma na kujua tunakosea wapi?
Watu humu wamekupa mpaka mifano ya miaka ya nyuma lkini uelewi ndio maana nakwambia kichwani hakuna kitu humo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.