Tushirikiane katika kuwaelimisha wenzetu.
Kilimo ni sayansi kubwa sana hasa ikiwa lengo lako ni kufanya kama biashara, nadharia ya zamani kuwa mtu yeyote mwenye ardhi, mbegu na mbolea anaweza kuwa mkulimabiashara siyo sahihi.
Baada ya kupitia post mbalimbali juu ya kilimo biashara nimeona leo niwape ushauri baadhi yenu,nimeona wengi wenu mnahamasika sana na hizi post au mmefanya maamuzi kutokana na hizo post. Sio jambo baya lakini lahitaji kuboreshwa, mwamko wenu ni kiashiria kizuri.
Nilipokuwa nyumbani nilikutana...
Taadhari,
Kuna kitu kinakosekana katika michanganuo yote niliyoiona hapa. Uzalishaji wa mazao sio kama wa kiwandani,i.e the volume/quantity of INPUTS determines the level of OUTPUT.
kuna vitu vitatu muhimu sana kuvizingatia na kuviweka katika hesabu, navyo ni:
() Magonjwa...
Cha msingi zaidi ni maamuzi ambayo yanalenga kuhakikisha ustawi wa chama na taifa, maana kwa mwaka huu wa 2015 mzani bado upo sawa yeyote kati ya chama TAWALA na UKAWA anaweza kamata dola ikiwa mchezo utachezwa kwa haki bila kusiskiliiza matakwa ya wadhamini.
Kwa mara nyingine tena siasa za visiwani zilimpa m/kiti changamoto kwenye mbio za kumpata mrithi wake 1985.
Chama kilidhibit idadi ya wagombea kuwa WATATU tuu.
Wakipambana;
- Alhaji Hassan Mwinyi
- Bw. Rashid M. Kawawa
- Dk. Salim H. Salim
Vita ilikuwa ni kali pale mpambano ulipobaki kwa...
Pia nguvu ya m/kiti kumudu changamoto ilijidhiirisha tena mwaka 1984, pale alipoitisha kikao cha dharura Dodoma kuchukua hatua dhidi ya yaliyokuwa yanajili Visiwani.
Pale Dodoma paliwaka moto, makundi mawili kutoka visiwani yakipambana, moja kumzamisha Alhaj Jumbe na lingine kuhakikisha anabaki...
Sifa moje kuu katika uteuzi wa Alhaj jumbe ilikuwa ni kutokuwa na MAKUNDI. Hekima za m/kiti ziliegemea hapa zaidi katika kuwashinda wajumbe wengine.
Wajumbe waliambiwa kumteau Kanali kumrithi Hayati Karume ingetafsiriwa kuwa mauaji yale yalikuwa ni mapinduzi ya kijeshi. Hakika wajumbe wote...
Hii kazi pia kwa kiasi fulani inafanana na namana m/kiti wa wakati ule alivyokabiliana na changamoto za kumpata mrithi wa Karume mwaka 1972.
Kanali Seif Bakari alikuya ndiye mwenye nguvu, ndiye kipenz cha wengi, ndiye aliyekuwa mstari wa mbele kutekeleza kwa vitendo sera za utawala wa hayati...
Kiongozi ni maono au kwa lugha nyepesi ni kuiona kesho kabla haijawadia na kisha kuwashawishi wenzio kuchonga njia kuelekea kule kiongozi anapoamini kuwa ni sahihi.
Haijalishi maamuzi yalifanyika mwaka gani, msingi ni je tupo kwenye njia sahihi? Je maamuzi hayo yanatupeleka kwenye ustawi zaidi...
M/kiti anawajibika kuendesha kikao vyema na kuhakikisha maamuzi sahihi kwa mustakabali wa chama yanafikiwa.
Kila mjumbe anao uhuru wa kuchangia kwa kadiri ya agenda zilivyo lakini maamuzi ufikiwa na kuridhiwa na wajumbe wote.
Baada ya muda mrefu sana wa kuwa pembeni nikitazama yanayojitokeza nimepata msukumo wa kutafakari kwa kina kazi iliyombele ya Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi.
Nikiitazama hali hii nakumbuka miaka ya 1934 pale Adolf Hitler na chama chake walipokamata madaraka ya Ujerumani.
Katika vuguvugu la...
Nashukuru FaizaFoxy kwa maoni juu ya kichwa cha andiko hili na hasa Moderator kwa kuchukua hatua.
Kwa wasomaji waliokwazwa kwa namna yoyote niwieni radhi. Kuna mitindo mingi ya uandishi wa habari, makala na vitabu. Nahamini wengi wenu mmepata kusoma fasihi au lugha katika ngazi mbalimbali...
Maswali yamebaki bila majibu kwa muda mrefu sasa lakini cha kushangaza ni jinsi taarifa zinavyobadilika kila siku kuhusiana na nini kimetokea kwa ndege hii.
Jambo la kwanza ilisemekana ndege imeangushwa na magaidi na tukaoneshwa kuna abiria wawili wenye asili ya taifa la Iran ambao walipanda...
Nimekuelewa. Ifuatayo ni tafsiri,
Dunia imezalisha wanasiasa na vyama vingi nguri, hivyo vyote vitapita lakini taifa litabaki. wito kwa
wote ni kusimamia ukweli na ustawi wa taifa letu.
As we analyse the unfolding situation betwen CHADEMA and Zitto Kabwe, I would like to share with
you some words from a master mariner. When i learnt sailing this old man gave me one very important
advice especially when you are on the helm of a giant vessel, "The course you chart is of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.