Kijana hilo chaka unalotaka kuingia vaa mabuti...Miba unayoenda kuikanyaga hata kwakuzaa nae tu hautaisahau.Binafsi hua sielewi inakuaje vijana wa 2000 mna akili ndogo na zenye kuendeshwa na hisia kijinga namna hii.
Ahmed tulia bna...Hili ndio soka letu,unataka tuige mambo ya wenzetu wakati huko unakotaka tuige hata hayo mambo ya usemaji wa timu hakuna...Utakula wapi sasa tukiwaiga??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.