Wakuu naona kama mnazunguka mbuyu..baada ya kufaulu usaili nikaitwa kwenye negotiation ya salary na vitu vingne, nikaambiwa nitataharifiwa kuchukua mkataba wa maandishi, ndo mauliza kwa mwenye kujua taratibu huwa inachukua max siku ngapi?
Nimeitiwa interview, wapo pwani kisarawe, naomba taarifa saidizi namna ama njia nyepesi ya kufika, mimi natokea Dar. Kama kuna mdau mwngine kaitwa pia ni vizuri tukifahamiana. Natanguliza shukurani!
Take it easy mkuu! Hata mwalimu anaweza kuwa mhandisi mzuri bila hata kusomea, ni kujifunza field tu namna kazi zinafanywa! Mifano ya watu kama hao ipo mingi, unakuta mtu ni engineer, mwalimu, mwanasiasa, mwandishi n.k kwahiyo nikisema nina uwezo wa kufundisha, ninamaanisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.