Hakuna anayeongozwa na CCM, isipokuwa kiongozi mahiri anayeongoza kupitia chama cha ccm. sisi hatuna shida na chama isipokuwa tunataka aina ya mtu yeyote kwa chama chochoteee. hivyo kusema ccm inaongoza sio kweli kwani ccm ni chama na kiongozi anayetuongoza anatakiwa kutuongozaaa.
Kwa hiyo shida...
Eti EDO alienda kuwaomba wamasai wamchague uhuru eti kwa kuwa nikiongozi wa malaigwanani. hiii sikutumia ukabiala kwa inchi ambayo wanatukuza ukabila??
Hili la edo kwenda kenya sikuliunaga mkoonooo. maaanayake hata sisi itafika mahala tuwe tunahamasisha makabila yetu yawe yanachagua kabila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.