Mtazamo wangu, kwanza kwa Haraka na uhakika vifo vya aina hii vinahusishwa na ushirikina moja kwa moja, nikimaanisha kwa watu hawa wanaoeleza kufa, kuzikwa na hatimaye kufufuka,,,,,tukumbuke uchawi ni dhana inayoishi, hivyo ukifuatilia kwa makini kutoka kwa Huyo mtoto wa geita na mwingine wa...
Hahaha, mkuu inatakiwa ujiapize ukiwa chooni, apa kisha kunywa maji alafu yateme kwenye shimo la choo yaende directly kwenye shimo,,,,,mi nilifanikiwa!
Unajua wagonjwa waliopona ni wale walioamini kuwa wanaumwa, wakakubali matibabu na mwisho wakapona, sasa wewe mkundugu yangu hujaamini kama unaumwa hivyo ni ngumu kupona!
Ili upone kubali kuwa unaumwa!
Jina na Mungu muumba mbingu na nchi ni Jina kuu, huwa linaanza kwa herufi kubwa hata kama ni katikati ya sentensi.
Sijui wewe unamsema Mungu gani,
By the way watu wa aina yako walikufa kwenye vita ya maji maji,,,,wengine waliobaki wakafa kwenye vita ya kagera sijui uliponaje aiseee!
Nimemkumbuka pia mganga wa pale Ukerewe, alimrudishia jamaa bida zake zilizoibiwa, aliwapa watu wapige kazi boda mpya 3 alafu wao wakajiona masonko wakatoroka nazo kila mtu akahama mkoa, kilichofuatia kila mmoja wao anakuja mbio kutoka huko alikokuwa anapiga mwano anamtafuta mwenye boda na...
Kuna yule aliyemning'iniza mtu utumbo kupitia sehemu ya haja kubwa pale Kagongwa Shinyanga, dah yule mtaalamu hafai aisee yaani hakuna kuvaa nguo maana ngoma imetoka kama 1m hivi hadi inaburuza chini ila anasema huyu hafi ila itateseka tu hafi pale atapokiri wizi wake!
Nilishamwambia mke wng, siku akinichoka aniambie na ntamsikiliza, nami vivyo hivyo, hakuna cha kuita wachungaji, wala kwenda bakwata, au kuita wasimamizi wa ndoa,
Yaani tunamalizana kimya kimya bila kelele!
Mimi tangu PM aseme uongo tena ndani ya msikiti siwaamini viongozi wa nchi hii.
Eti ooh jiwe yupo vzr anachapa kazi za kiofisi ilihali mtu keshaenda akhera madukani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.