Ni nyumba ya kisasa, ina vyumba 4 vya kulala, 2 master bedroom, Jiko, store, fensi, na parking Kubwa ya gari, tiles nyumba nzima, kisima cha Maji na tank la litre 5000, Maua, miti na bembea za watoto n.k Nyumba iko Kinguge Mbagala . bei milion 100
- Ina Vyumba 4 vya kualala
-2 master bedroom
- Sebule kubwa na sehemu ya chakula
- Choo cha umma
- Jiko
-malumalu na dirisha za aluminium
- Maji na umeme
- Fremu ya duka 1
- Fensi na parking ya gari
Nyumba iko Chamazi.
Bei: 47,000,000.
Habari wana jamvi.
Hapa ni sehemu maalum ya kuuza Nyumba, kiwanja na shamba. Ni sehemu ya kukutanisha muuzaji na mnunuzi moja kwa moja au kupitia Dalali.
Habari na matangazo yatolewe kiusahihi yakiambatana na picha ya Mali inayouzwa, mahali inapopatikana, bei n.k
Nauza Nyumba kwa bei poa kabisa, kuanzia milioni 15, 20, 25, 30, 40, 50......200. Kwa maeneo ya CHAMAZI. Swali lolote unaruhusiwa kuuliza na utajibiwa.
Asee wamama wamekuwa wahanga sana, hata mi najiran yangu alishaw kwenda kuchukua mafuta ya upako umwekee mumewe kwenye chakula asitoke nje ya ndoa. Yaan mambo ya waganga wa kienyeji yameamia kanisani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.