Habari Wana bodi.
Kama ilivyo kawaida ya jamvi letu halikosi msaada wa Hali na hata Mali pia kma utahitahiji,
Niende kwenye mada moja moja.
Miaka ya 2013,14-'15 maeneo ya Vijana kinondoni bar na club ya usiku almaarufu Kama "Uhuru pick" na maeneo ya jirani Kama Masai club, Jacaranda, kulikuwa...
Habari za muda,
Nimepitia Habari za masaa ITV kwa bahati mbaya nimekuta mwishoni ila subtropic nimeona imehusisha kuungua moto ghala LA kampuni inayouza spear za magari na pikipiki Saba General enterprises, mwenye taarifa au anaejua chochote naomba atujuze tafadhari.
Wangapi mnaikumbuka barua ya Papii Kocha aliyoiandika kwa Rais Kikwete mwaka 2013 kuomba msamaha? Nakumbuka kaka Evarist Chahali aliichukua barua hii na kuiwasilisha kwa Waziri Lazaro Nyalandu aliyeahidi kuifikisha kwa Rais Kikwete. Kuanzia hapo sijui nini kiliendelea. Labda Chahali anaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.