Water Rodney_ how Europe underdeveloped Africa.
John Justin Pambalu_ Tumethubutu, Tumeshindwa, Tujipange
Julius kambarage nyerere_ Azimio la Arusha
P.L.O Lumumba_ Magufulification of afrika
Pia Kuna vitabu vya PROFESSOR KAHABI VITAFUTE
Kwa uchache..
Usha wai pata msiba wa aina izo??!
Unajua MTU akipata ajari kwanini huenda polisi kuchukua PF3??! Before hajapelekwa hospital??!
Eg. Mtu akichomwa kisu, kujinyonga, akinywa sumu, kujifungia nyumbani na kukutwa amevuja damu nyingi lazima walinzi wa amani wahusike in short
Uliza kingine
Ni sahihi mkuu maana Kuna workmate Ni kaka kwangu yeye huwa Ni mwoga mwoga huwa hapandagi na hunikatazaga kupanda sikua namwelewa Ila kwa Sasa nimemwelewa
Japo na miaka 7 sijaja home (mza) Ila hapo mwanza hata mataa ya barabarani yapo wapi labda buzuruga E.T.C
Huwezi fananisha pilika pilika za BODABODA na MAGARI na WATU Between DAR ES SALAM na MWANZA......
Jumapili hapo mwanza usafir Ni shida ukiwa maeneo ya mecco hakuna VIPANYA (DALADALA)...
Mkuu huku dar es salaam Kuna pilika nyingi boda boda nyingi sanaa magari Ni mengi Sanaa watu pia Ni wengi Sanaaaa
Hapo mwanza barabara kubwa Ni mbili TU hapo mwanza nilikuaga naendesha kwenye rough road Mara moja moja Ila huku dasalama sijawai endesha
Sawa wapo vijana walevi Ila ajar hainaga...
Kuna muda machozi Yana nilenga nikiwaza hizi ajari now ningekua nimesha sahaulika..
Still naendelea kurecover naendelea na mazoezi ya kukanyagia mguu
Wangu Mwenyezi Mungu amekua mwema kwangu
Kwa dar es salam ajar za boda boda Ni nyingi mno nenda mahospitalini wahanga Ni wengi..
Ukienda mishe...
Mimi niliwai kukutana na kachero mmoja tukapishana KAULI Nika mchana aache uaskari wa kijima ule wa feudal mode of production 😊😊😊
Akanikamata kimabavu akanipiga pingu na kunisukuma nikamwelekeza P.G.O 😊😊 yule Askari alijutiaga vile vitendo tukaja suluhishwa na kushikana mikono kwa amani...
Mkuu,
Ukiona mwanamke ana onja au kunywa POMBE
Kupigwa mbupu Ni easy
Remember:
Alcoholism Ina tabia ya ku lower reasoning capacity..
Kama unabisha mwambie jamaa anunue wine🍷au savvana ama Hanson choice then aje atupe mrejesho..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.