Karibu viongozi wote walitoa maoni kwa jinsi viongozi na watz wanavyomuenzi Mwalimu, lakini sijasikia kauli yeyote kwa mkuu wa nchi kuhusu Mwalimu......kunani?
Kwa muda mrefu sana gazeti la tanzania daima halipatikani kwenye mtadao kunani?. Naamini gazeti hilo habari zake ni za ukweli na zilzochambuliwa na waandishi waliobobea. Tafadhali kama wamebadilisha address naombeni jf mnijulishe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.