At the same time ni muhimu kukumbuka kwamba hii ni majority ya watu,tunategemewa kwa mambo mengi sana, tupo connected na watu wenye hali duni, "sio rahisi sana kutoboa" in general, ni ngumu sana, mifumo ya dunia imewekwa ili tusitoke kirahisi. But inawezekana, njia zipo, ndio point ya huu uzi.
Hongera sana kwa step ulizopiga. Haya maisha haya, ukiwa unapitia hizi hali za chini unaona kama mda hauendi, wengi sana wanakufa moyo na kurudi nyuma, wachache wanachukua opportunity na kutumia kujenga discipline, generational wealth ni muhimu sana, vizazi vinavyofuata waweze tatua mambo...
Jiji la dar-es-salaam limejaa vivuli vya kutafuta kwangu na vya watu wengi sana. Kila mtaa ninaopita naviona, najiona mwenyewe nilivyokua natembea hii mitaa, Kugonga milango kwenye ofisi za wahindi na kuwaelezea nini nachoweza fanya, kugonga milango hiyohiyo tena na kuambiwa nirudi wiki ijayo...
Maneno machache kwako wewe ambaye dunia bado inakuweka chini,
Hawakujui,
Watafanya kila liwezekanalo kukufanya ubaki ulipo,
Watalipa polisi wakuweka ndani bila wewe kufanya kosa,
Watakutishia,
Watabadilisha maneno waliosema na kutumia nguvu zao kukuhutumu,
Wataongea juu yako bila kukupa...
Video hii inaelezea zaidi utata kati ya historia tunayoifahamu yenye utata kidogo kwa sababu waarabu wameibadili.
"All societies select what they want to remembered, but only Africans have been totally denied a history or their own for so long."
anza na link hizi hapa
Crash course - hii kwa historia kwa ufupi (zipo nyingi, ila tafuta za afrika kwenye hii YouTube channel)
page za facebook
Real African Writers
Afrikan Centered Education
nitaongeza link polepole.
Historia imefutwa, historia imefutwa kupitia dini zilizoletwa, kupitia kudanganywa.
Roman empire ndio civilization za mwanzo zilizokua documented kwa magharibi, afrika civilization zilikuepo miaka zaidi ya elfu 3 kabla ya rome, sijafuatilia sana waarabu ilikuaje.
Kwa research yangu, waarabu na...
Ahsante sana, dhumuni langu ni kufanya watu kua na mjadala juu ya haya mambo, mimi sio mwana historia kama nilivyosema hapo mwanzo, na pia sijagusia slave trade ya waarabu kwa kua aliyenifanya niandike haya anasifia sana mzungu.
Waarabu hapa kwetu ndio ambao wamekubalika kama wenzetu kumbe nao...
Jana Leo na Kesho, mstari mrefu wa mafanikio kwa mtanzania /muafrika mweusi.
“I write nikiwa inspired” niliandika kwenye makala yangu ya kwanza.
Kuna swali ime ni inspire, imenisikitisha, imenipa uzuni, kwa jinsi gani mtu mweupe, the white man, amefanikiwa kuua uwezo wa wengi sana kujiamini na...
Aisee. There is so much wrong with these statements sijui hata nianzie wapi.
1. Utumwa. Slavery.
Nchi kama marekani haijajijenga yenyewe, watu weusi watumwa walienda wakawajengea nyumba zao, wakawajengea reli ili treni zipite, wakawafanyia kazi bure kwenye mashamba yao, wakawanzishia viwanda...
shipping za posta zinategemea na mambo mengi sana, kwa uzoefu wangu singapore post ndo inawahi, 2 weeks mzigounafika toka utumwe. nimeelezea shipping za posta zote kwenye pdf pia.
DHL kutoka order-shipping-kufika-kuupata mzigo 1 week. DHL mzigo ukifika tu upe masaa 24 then nenda pale uone wamekuwekea bei gani, pale kwenye kodi ndipo mizigo inakaa mda mrefu. thats the fastest way.
bidhaa za bei ndogo kama hizo hazikatwi kodi kawaida, ukitumia njia za shipping za post office. DHL utakatwa kodi. nimeandika PDF nzima ya bure yenye njia za shipping zote ambazo utapata mzigo kupitia posta, PDF unaweza download bure hapa biashara kwa mtandao introduction
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.