Uliyemrekodi huyo askari hutapata amani na furaha katika maisha yako. Umeharibu maisha ya kijana mdogo kwa ushenzi wako mwenyewe
Kama hupendi rushwa ungelipa faini, askari hakukuomba rushwa Wewe ndio ulimpa
Hilo tukio sio la kweli ilikuwa staged ili kuthitibitisha (prove) kuwa madreva ndio hutoa rushwa bila hata kuombwa na askari.
Watu wengi wamekuwa wakilaumu kuwa askari ndio huanza kuomba rushwa wakati sio kweli
Leo nimepita pale Magomeni nimeona jinsi jengo lao jipya upande wa Morogoro rd wanavyojiandaa kutengeneza lile "jicho" pale juu.
Maana kila kanisa lao lina hilo jicho
Umenena vema kuwa madhehebu mengine, lakini Wakristo wanasali J2. Wayahudi wao ndio halali kabisa kwao kusali Jumamosi maana wao si wafuasi wa Yesu ila nyinyi wenzangu wenye kutaka huku na kule hamna kitu zaidi ya kugeuka kuwa cult.
Huwezi kutaka kushika torati na hapo hapo unajifanya...
Hayupo kwenye Biblia yoyote hata ya JW wala ya Mormons ila yupo mwenye vitabu vyetu visaidizi kama Pambano Kuu ( una unafiki wetu siku hizi kinaitwa Tumaini Kuu), The Desire of Ages, Prophets and Kings etc
Hawa jamaa kazi kusema kanisa la RC linaongozwa na Papa wakati nao Conference ndio Papa wao. Hata lesoni ya siku lazima itoke nje, kila kitu ni imported kuanzia kuongea, mahubiri etc.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.