Rais wa nchi unatakiwa UJIAMINI na KUSIMAMIA kile ULICHOKIANZISHA KWA MASLAHI YA WATANZANIA....Na hiki ndio ninachokiona kwa MAGUFULI......serious we have a president
MKUU EBU TOA HIYO ID FAKE YAKO...afu ndio uhimize hicho unacho wadanganya wenzio.......WENZIO WANAOGOPA KUFANYA UNACHO WADANGANYA MAANA WANA REAL IDENTITY.....sasa wewe upo shimoni unawadanganya wenzio
NDIO WAKOME.......na hii wamejichinja wenyewe...HAKUNA MTU WA KUWARUDISHA BUNGENI 2020.......Honest HALIMA MDEE hana maadili kabsa na kamwambukiza tabia za ajabu ESTER BULAYA....yaani utafikiri ni mabinti ambao hawakulelewa na WAZAZI WA KIKE,,,,,ni aibu sana
Yaani HALIMA MDEE anajaribu...
Hapa mnashindwa kumuelewa vizuri RAIS magufuli.......ALikuwa ana maanaisha WAPINZANI wasio jielewa(HAPA UPINZANI USIOJIELEWA UNAJULIKANA) ndio kamwe hawezi kuingia kwenye SERIKALI YAKE..........ndio maana mpaka sasa kaegemea upande wa watu wanaojielewa ACT......Ni lini mmesikia HUYO MAMA WA ACT...
Mkuu ebu acha kujipandisha chati kabsa.......Hauna lolote la kutuambia tukuone wewe ni mpigania USAWA kwenye nchi hii....UTAPIGANIAJE USAWA UMEJIFICHA SHIMONI????
hivi kweli hili suala mmeshindwa kuwauliza viongozi wenu huko???????WAKATI MWINGNE INASIKITISHA SANA jinsi ambavyo CHADEMA wanalipa hili suala uzito wake........
Tatzo lako una ongea sana ili hali hata hayo MACHUNGU unayo yasemea HAUYAJUI yakoje.....huu ndio tunaita UNAFIKI.....rudi hapa nchini UPIGANIE HAKI UNAYOISEMEA......KWELI TUTAAMINI UNAMAANISHA USEMACHO
wewe hata usipo muunga mkono RAIS wetu haupunguzui wala kuongeza chochote......
Aiseeeh.......Huyo wanaemtaka atawale ni kwa ajili ya matakwa ya U.S.A au kwa ajili ya matakwa ya WAZANZIBAR???
Kama ni ajili kwa matakwa ya wazanzibar MBNA HAO WAZANZIBAR wapo kimya mpaka sasa hawaaandamani kuingia barabarani kudai HAKI YAO??? ukimya wao ni kithibitisho tosha ya kuwa ALIYEPO...
Ila twende na ukweli LISSU anakosea sana kujifanya yupo mstari wa mbele wa kuangalia HASARA NA SI FAIDA kwa ajili ya vizazi vijavyo.......na hii ni rahisi sana kwa LISSU kutumiwa na hawa VIBARAKA wenye maslahi yao kwenye hili kutuletea matatizo nchini kwa kuhamsha TAHARUKI kama wafanyavyo sasa
Sababu kubwa ambayo wengi wenu humu mmeshindwa kuitambua kwanini WAPINZANI kwa sasa wamebadili tena gia ANGANI....ni hii hapa....
HIVI mnatambua Nchi ya CANADA kupitia balozi wao hapa nchini ni wafadhili wakubwa wa CHADEMA????....sasa kwa akili ndogo unategemea LISSU akae kimya pale anapoona...
wewe una USHAIDI GANI ya kuwa STAR TV wameyumba kiuchumi??????......Hivi unafajhamu kuyumba kiuchumi???
Ingekuwa ni kweli unayo yasema hapa HIYO T.V station isingekuwa HEWANI.......unachoshindwa kung'amua juu ya hizi tetesi za KIBANGI hapa JF ni uhusiano wa STAR TV na CCM .....sasa usitegemee...
Kwanini secretarieti ikae mara mbili kabla ya baraza kuu?????......Huku ni ufujaji wa pesa wa chama kwa wakubwa hapa ni uraji wa posho tu usio kuwa na kic hwa wla miguu.....WIZI MTUPU
Ni kweli hakuwa na UPUUZI huo unaosema wewe...LAKINI MBNA BADO ulipanua mdomo wako kubwabwaja???????
Daaah nyie vijana wa penda vya bure UFIPA inawapoteza aiseeeh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.