Kinachosababisha hiyo hali ya mwembe kutokuzaa ni aina ya wadudu wanafanana na sisimizi ambao mwembe ukianza kutoa maua hao wadudu wanaenda kula maua hivyo kupelekea mwembe kushindwa kuzaa.
Jambo la kufanya ni kuhakikisha unapiga dawa katika miembe yako kila miembe ikikaribia kutoa maua au...
Document unazotakiwa kuwa nazo ni Kitambulisho Chako chenye jina linalofanana na Document atakazokutumia, TIN number na pesa za kutolea mzigo bandarini kwa malipo ya Port charge, wharfage, shipping line, Agent fee n.k
Document atakazotakiwa kukutumia ndugu yako ni Bill of Lading, Invoice na...
Siwezi kukucheki ndugu sababu wazo lako haliwezi kutekelezeka kwangu,
Pia kumbuka hiyo ni hiari, hivyo hakuna kitu cha ajabu au kushangaza ninapotoa mtazamo wangu.
Hili wazo jipya ndugu, nimetafakari sana na kufurahi kwa ujasiri wako.
Ila kwa kifupi haitowezekana kwa sababu tayari mtoto atakua damu yangu hivyo inaweza kuleta sintofahamu baada ya miaka.
Ninaweza kukupa wazo kwamba kama una sifa nilizotaja, fanya kwanza mpango wangu halafu badae mimi...
Kila mtu yupo huru kufanya anachoona kinamfaa, hasa kama havunji sheria kwako na kwa watu wengine.
Tusiwe wepesi kuhukumu, aliye mtakatifu ni Mwenyezi Mungu pekee.
Niliemjibu alishanielewa na akakaa kimya,
Pia nakukumbusha kwamba sijaja hapa kueleza tatizo bali nimekuja kutoa fursa yenye malipo kwa mwanamke mwenye sifa nilizotaja pia mwanamke huyo awe tayari kwa hiari yake.
Hakuna sehemu niliyoonesha ukali ila nimekua najaribu kuwaelekeza watu kadiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.