Anasubiri breaking news. TV siyo anasa ni Habari. hata hivyo sina imani na nyarandu kwenye kampeni zake aligawa noti kitanda kwa kitanda hivyo inawezekana ni ufahari tu. muulize kwao Ngimu-Singida kuna hata umeme wa solar. ya nini kugawa noti? kwa nini hizo noti zisiboreshe mradi mmoja mkubwa...
Lete C.V yako kuna kazi ya kusimamia mradi wa kuku wa kienyeji hapa kibaha. mshahara 150,000 ukishaondoa makato yote. lakoni unaruhusiwa kukopa mara 12 ya take home unalipa ndani ya miaka mitata riba 18%. kma uko tayari tuwasiliane hapa hapa nitakupa namba zangu. kumbuka makato ya mkopo...
Utakuwa ushirikina tu! Ila tujiulize, anakwenda nacho marekani? Au ni tanzania tu? Basi ushirikina huo ni mfupi kama kaptura. Washauri wake waache kumpotosha!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.