Paskali- Mimi nafikiri Dr Shika amepata umaarufu huu wa haraka na gafla kipindi hiki kwa sababu ya hali ambayo jamii inapitia.
1. Mitaani kumekuwa na kilio chamuda sasa kuhusu ugumu wa maisha, kukosekana kwa fedha, kuyumba kwa biashara,na mambomengine yanayofanana na hayo. Kwa kifupi, maisha...
Hivi mikoani napo walikuwa wanapiga mpaka saa ngapi? Na, kwa nini kwa dar muda umekuwa topic kubwa kiasi hiki? Ila sidhani kama raisi anaweza kujiingiza kutoa kibali cha kupiga disko, sidhani!
Wahindi wana msemo wa kale unaosema hivi " Kazi nzuri na ya heshima ya kwanza ni kilimo, ya pili ni biashara na ya tatu ni kuajiriwa" Hapa kwetu kazi ya kilimo ni kazi ya watu walioshindwa mambo mengine. Utasikia wanasiasa wakisema kama umeshindwa kazi ya kuajiriwa ..... nenda kalime. Wazazi pia...
Watu wanaowana kwa dini mbili tofauti na wanazaa na wanalea familia. Kama kila mtu anaamini kwenye ilani ya chama chake waendelee, ila wasiruhusu maisha ya kisiasa yakaingia ndani ya maisha yao ya familia
Kafulila hapotezi chochote kwa maamuzi aliyofanya he was jobless. Jesca hawezi kukurupuka ajijitoa CHADEMA anapoteza stahili zake zote za kibunge. Kwa hiyo, Jesca lazima akomae!! Kama anayozungumza ni serious basi ndoa hiyo itaingia kwenye heka heka
Paskal-kwa mtu kama wewe ni vyema ukajaribu kukwepa "value judgement" za aina hii. Vifo vya gafla hutokeo kwa watu wote wanene, wembamba, na wa wastani. Taarifa ya daktari ndiyo inaweza kudhibitisha pasipo shaka sababu ya kifo cha mtu
CHADEMA/ACT/CUF kama vyama vya upinzani vina weaknesses zake nyingi. Ila kutumia nguvu kubwa hivi kupambana navyo inaweza kuvijenga badala ya kuvibomoa. Rewards za vyeo kwa watu ambao wanajiuzulu uanachama ni dhihirisho kuwa vyama hivi ni tishio- sasa kwa kuwa watanzania wenye uwezo na...
Raisi anaweza kumteua mtu kuwa balozi bila kumpangia kituo, DG wa NSSF aliteuliwa kabla ya kupangiwa malaysia, IGP Ernest Mangu naye ameteuliwa anasubiri kupangiwa kituo. Nchimbi naye aliteuliwa akakaa muda ndipo akapangiwa kwenda Brazil.... tusubiri anaweza kupangiwa kwenda Italy
Jokate- Raisi hajajenga bomba la mafuta, ila amepigania ujenzi wa bomba hilo upitie nchi ya Tanzania badala ya nchi ya Kenya
Pia- Kuhakikisha Tanzania inakuwa na viwanda vya kutosha nchini approach ya ujenzi wa viwanda kwa kuagiza wakuu wa mikoa kuhakikisha wanajenga viwanda 100 inanitia...
Jesca aliojiunga na Chadema alijiunga kama yeye. Kumfukuza uanachama CHADEMA ni pale tu itakapothibitika tu amekiuka maadili ya Chama yenye adhabu ya kufukuzwa uanachma. Huwezi kumfukuza mtu uanachama sabau muwewe amehamia chama kingine. Kama CHADEMA wanafikiri huyu dada anaweza kuwa msaliti...
Nyerere haheshimiwi kama mtu aliyeleta uhuru peke yake. Ila, Nyerere anaheshimiwa kwa kujali maslahi ya nchi kuunganisha makabila yote na kuwa na ideology moja kwenye mapambano ya uhuru. Wameru walienda kudai uhuru walikuwa na agenda zao kama wameru, wachagga nao walikuwa na agenda zao kama...
Kati ya mifuko yote LAPF na PPF walikuwa wafanya kazi nzuri kulinganisha na wenzao. Kuunganisha mifuko hii sasa kutaleta monopoly ambayo slowly ilishaanza kupungua
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi ndiyo msimamizi wa sheria zote za nchi ziliwepo za uchaguzi. Anapokuwa active player kwenye politics za ruling party haiwezi kusababisha conflict of interest
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.