Kesi ya serikali dhidi ya mfanyabiashara wa njombe mjini Meckson sanga imetupiliwa mbali na mahakama ya wilaya ya njombe baada ya kukosekana ushahidi .sasa hivi tupo ukumbi wa turbo njombe mjini kwa majadiliano ya kuchukua baada ya maamuzi haya ya mahakama.haki siku zote huchelewa Tu lkn lazima...
Hiki kikundi cha Sanaa cha ccm hakifiki popote,maana huku walikofanya ziara hata harufu ya actccm hakuna kabisa,hivi bila zzk hamuwezi kuendesha kikundi chenu? Sasa October mtamgaweje huyo zzk ili mpate hao wabunge 50? Endeleeni na maigizo yenu
Mwenyekiti wa act mkoa wa njombe ametuaacha vinywa wazi na kutanua mbavu zetu baada ya kusema act iko kwa ajili ya wanaccm waadilifu lkn pia kwa kuwa cdm inachukua nch basi act ndio chama cha upinzani ,mwenyekiti huyo anaitwa Mathias mwajombe ambaye kabla ya kuhamia act,amewahi PIA kuwa...
Katika muendelezo WA mikutano ya chadema inayoendelea hapa nchini kwa sasa.
kesho ktk halmashauri ya mji WA makambako ,kutakuwa na mkutano WA hadhara utakaohutubiwa na kamanda salum mwalim na dogo janja kamanda Josh nassari (mb).mkutano unategemewa kuanza saa 6:00 mchana.
nauona mwisho WA ccm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.