Search results

  1. kidunula1

    Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili mshambuliaji hatari Lazarus Kambole

    Moloko ana Work rate kubwa kuliko Chico[emoji3],hapo kila mmoja ana faida na udhaifu wake. Ukiniuliza naondoka na nani nabeba zangu Moloko tunasonga. So far Chico ni talented player!
  2. kidunula1

    Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili mshambuliaji hatari Lazarus Kambole

    Vipi Lukaku ndani ya Man U na yule aloenda Inter hadi Chelsea wakamuona tena baada ya kumkacha miaka mingi kabla hajaja kufeli tena? Huku Man U alionekana ameshindwa. Alipoenda Inter akawa balaa, Chelsea wakamnunua kutokana na moto aloonyesha Inter, na sasa inaonyesha kafeli tena na Inter...
  3. kidunula1

    Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili mshambuliaji hatari Lazarus Kambole

    Huyo jamaa naamini anakuja kufufuka! Na ni mshambuliaji mzuri sana. Angalia ktk hiyo misimu miwili alofunga goli 2 kwenye klabu, timu ya taifa kafunga ngapi?
  4. kidunula1

    Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili mshambuliaji hatari Lazarus Kambole

    Orlando wana wachezaji wazuri kuliko Mamelody? Mbona Miqiussone alishindwa kufurukuta? Na kule Ahly mbona kashindwa kifurukuta ilihali anazungukwa na wachezaji wazuri tupu? Huku Simba si aliwika hadi Ahly wakamuona? Mpira hauko hivyo, na kumbuka hao wasauzi walimuona akiwa top player ktk ligi ya...
  5. kidunula1

    Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili mshambuliaji hatari Lazarus Kambole

    Angalau Yanga naaini wamemsajili Ki Aziz ambaye ni top player Wa Asec na umri bado unadai. Hapa wameonyesha dhana ya uwekezaji
  6. kidunula1

    Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili mshambuliaji hatari Lazarus Kambole

    Hivi wakati Miquissone anakuja kwenu si alikiwa kaachwa na Mamelody?
  7. kidunula1

    Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili mshambuliaji hatari Lazarus Kambole

    Tunaamini Kambole Wa Zesco atarudi, Pia tunaamini Orlando wameshindwa kumtumia kama mlivyoshindwa kumtumia Morrison
  8. kidunula1

    Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili mshambuliaji hatari Lazarus Kambole

    Kwani Mimi nimesema ni mchezaji Wa Makolo?
  9. kidunula1

    Ni kweli kwamba watumishi wasiopitishia mishahara yao benki ya CRDB hawana nafasi ya mikopo katika benki hiyo?

    Nimeenda kutaka kuchukua mkopo Wa milioni 10 kwa miaka 2 wakaniambia mkononi nitapata milioni 9 na laki 3+ nimeshangaa sana nikauliza mchanganuo ukoje jamaa akaniandikia hivi; 1. Gharama 184000 2. Insurance laki na 60+ 3. CRDB 340785.077 sasa kwa ninyi wazoefu Wa huko Crdb hicho kipengele cha 3...
  10. kidunula1

    Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili mshambuliaji hatari Lazarus Kambole

    Ni kama Konde boy alivyoflop kule uarabuni?
  11. kidunula1

    Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili mshambuliaji hatari Lazarus Kambole

    Kwa hiyo ni mzigo kama ilivyokuwa kwa Chama pale Berkane?
  12. kidunula1

    Azizi Ki tumepigwa mchana kweupeee

    T-shirt Kali sana hii
  13. kidunula1

    Hivi Simba SC mbona kama hawapo serious na usajili?

    Yaani pamoja na kumuongezea Wawa mkataba unaona hawako serious!?
  14. kidunula1

    Hivi Simba SC mbona kama hawapo serious na usajili?

    Sawa tunashukuru!
  15. kidunula1

    Hivi Simba SC mbona kama hawapo serious na usajili?

    Wapo kwenye mazungumzo na George Mpole. Msijali next season mtatisha sana akisimama Mpole pale mbele. Sisi Yanga wajinga sana, eti tunapambana kuwasajili kina Aziz Ki, Lazarous Kambole n.k ambao hawajui kitu waje wacheze na Mayele.wakati Mayele mwenyewe hajui chochote!
  16. kidunula1

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Kocha la Real Madrid
  17. kidunula1

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Tangu tuingie huu mwaka 2022Huyu ndiye mchezaji Wa kwanza duniani kusababisha watu watimuane klabuni!
  18. kidunula1

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    Hivi humu hamjamiss kuiona Yanga ikicheza? Mimi uzalendo unanishinda!
  19. kidunula1

    Maisha yangekuaje humu JF kama tungekuwa tunajuana kiundani

    Ukweli ungetamalaki humu,mana kwa sasa kila mtu humu ni Wa kiti kirefu
  20. kidunula1

    Watuma salamu maarufu waliotamba kwenye vipindi mbalimbali vya Redio

    Kuna jamaa alikuwa akitaka kutuma salamu clouds FM alikuwa akianza na neno Niambiiiiiiieee!!
Back
Top Bottom