usikatae mimi nimeshuhudia wanafunzi wa chuo mmoja baba ake paroko huko morogoro ila dar hakuna siku analala hostel na waganga wakienyeji anaenda bangi anavuta shisha usiseme kama moshi wa treni na alifeli kabisa hadi sasa umeshindwa kurudi kwako kwa mabadiliko na yy hajabadilika anapambana na jiji
Hao CCM wenyewe tu wamewakimbiza sumajkt kwenye mwendokasi bimkubwa kasema hawa wapuuzi wanaweza nigombanisha na wananchi bure Sasa hivi hawapo busara hawana wale
Kuna watu wanajipendekeza Mpaka wanatia kinyaa sasa huo upofu wa nn kwa vitu vinavyoonekana kwani kusema rais wetu kateleza unapungukiwa nn hakuna binadamu asiyekosea iwe kwenye ulimi au kutembea Mbona nyepesi sana
Uko Sawa kabisa mkuu ila napo miaka ya nyuma tulikuwa tunakariri Wakuu wa mikoa kozi walikuwa wanadumu kwenye mikoa Yao leo ukizingua asbh baba anakutoa anaweka mwingine hivyo mwaka 1 unakuta wakuu wa mikoa watatu unakariri vipi ndio maana hata hayo maswali yametolewa kwenye mitihani
R.I.P...
Kulia lia kunakujengea udhaifu wa kushambuliwa kikubwa wewe unajua si mwanachama wa chama chochote hivyo endelea kutoa mawazo yako bila kujari watu wanakupeleka chama gani kikubwa wewe ujijue
Huyu kijana angepata ubunge wake bila shaka maana alikuwa anafanya kazi na wananchi wake walimpenda ila now asahau ubunge kama hata viti maalumu hatopewa na pande zile
Naamini Mwl Nyerere alisema hivyo ili ccm isibweteke ndio maana akaleta vyama vingi ili iwe chuchu ya maendeleo kwa ccm ila ccm kwa akili za kawaida na kuona hawa watu wanatukaribia ndio maana wanabadilika hadi mioyo na kutaka kumiliki nihili muhimu kama NEC n.k
Mimi sinaga machama sijui ila usiseme hivyo kabda hujafa hujaumbika mama huyo lisu sijui hakuzaliwa mlemavu chunga kauli zako ungali duniani mungu hadhihakiwii
Ha ha ha ha ha madhara ya I’d fake hadi profile fake ndio watu wanajumlisha [emoji23][emoji23]mungu atusaidie maana ni asilimia 80%tunaweka profile fake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.